Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

TISS wote kuanzia juu hadi chini wanakisaidia chama hiko wakiamini ndiyo uzalendo kwa Taifa.

Mkuu wa CCM ndiye sponsor wa TISS.

Kuitenganisha TISS na upendeleo wa kipekee kwa CCM kunahitajika Katiba makini yenye kuunda taasisi imara kwa maslahi ya Taifa.
Asante!

Nimekuelewa boss.
 
Sasa unapata faida gani kuwa informants?
Na kwanini wakuone wewe kwenye kikundi kama cha wasafi chenye watu karibu 50.

Quality gani anakuwa nazo?

Asante.
Hakuna faida ila ni kwa faida ya wanaokutumia... in return unaweza pata compensation kama kulipwa, kupewa favors kadhaa n.k.

Kwanini wewe? Kwa mfano kama wanataka kumchunguza Mondi na endorsements deals zake kama zina chembechembe za utakatishaji fedha basi wanaangalia favorite dancer wake au pisi iliyo karibu naye kama zuchu n.k na kazi yako itaisha stage hiyo ya mission ikikamilika.

Hiyo sio permanent job ni kama task tu ya muda husika basi ila ukishatumbuliwa hiyo idara hawana haja na wewe tena.
 
Hakuna faida ila ni kwa faida ya wanaokutumia... in return unaweza pata compensation kama kulipwa, kupewa favors kadhaa n.k.

Kwanini wewe? Kwa mfano kama wanataka kumchunguza Mondi na endorsements deals zake kama zina chembechembe za utakatishaji fedha basi wanaangalia favorite dancer wake au pisi iliyo karibu naye kama zuchu n.k na kazi yako itaisha stage hiyo ya mission ikikamilika.

Hiyo sio permanent job ni kama task tu ya muda husika basi ila ukishatumbuliwa hiyo idara hawana haja na wewe tena.
Asante sana ndugu zitto.

Umeniongezea maarifa.
 
Hakuna faida ila ni kwa faida ya wanaokutumia... in return unaweza pata compensation kama kulipwa, kupewa favors kadhaa n.k.

Kwanini wewe? Kwa mfano kama wanataka kumchunguza Mondi na endorsements deals zake kama zina chembechembe za utakatishaji fedha basi wanaangalia favorite dancer wake au pisi iliyo karibu naye kama zuchu n.k na kazi yako itaisha stage hiyo ya mission ikikamilika.

Hiyo sio permanent job ni kama task tu ya muda husika basi ila ukishatumbuliwa hiyo idara hawana haja na wewe tena.

Faida inakuwepo wakati wa kutoa ushirikiano wako kwao ili kuzipata taarifa wazitakazo kwa muhusika au wahusika wao. Ikiwemo fedha kwa ajili ya kukamilisha missions kadhaa.

Mara nyingi wanafanya kukupa pesa nzuri ili kutuliza akili yako kwenye jambo lao, na kupunguza muda wako kwenye mambo yako Wakimalizana na wewe ndio mwisho wa kufaidika kwa muhusika.
 
Faida inakuwepo wakati wa kutoa ushirikiano wako kwao ili kuzipata taarifa wazitakazo kwa muhusika au wahusika wao. Ikiwemo fedha kwa ajili ya kukamilisha missions kadhaa.

Mara nyingi wanafanya kukupa pesa nzuri ili kutuliza akili yako kwenye jambo lao, na kupunguza muda wako kwenye mambo yako Wakimalizana na wewe ndio mwisho wa kufaidika kwa muhusika.
Ni ujinga kwelikweli kama toilet paper 🗑 🚮.

Na kama wanavigezo kwanini wasiajiliwe?
 
Mkuu wanakaa uko kwenye nyumba za ibada mpaka wanasahau familia Mwaka Jana kuna mmoja aliachana na wife wake kisa ubize Wa kazi jamaa alikua na semina za dini 24/7 mwishowe wakammegea wahuni.

Alafu ni watu Wa visasi saana kwa sasa naona anatumia mbinu mbadala kuhakikisha anammaliza jamaa aliyemlia wife wake hata safari zimepungua sana za huko Dar es salaam.Lazima amuwinde tu kwa mazingira yoyote Yale
Naandika kwa herufi kubwa "KISASI NI TIBA YA STRESS" KISASI NI MUHIMU SANA TENA SANA.
 
Wengi wanaishia kwenye Pombe na Umalaya tu.Kuna kipindi nilikua na wakuu wakitengo maeneo flani walinchukua tukatembee nipate kujua maeneo kidogo ila cha kushangaza walipiga bia kama 19 kila MTU ila mmoja alizidiwa na kuanza kuropoka mission zao na majukumu waliyoyakamilisha Nilijifanya siwaelewi ila mmoja akabadili story kwa staili yaaina yake by that time nilikua napata soft drinks na kiepe changu.Mpaka sasa mmoja ananitaftaga sana kunifanya niwe karibu
Tiss OG hata akilewa huwa haropoki! huyo atakuwa Tiss wa Mchongo [emoji3][emoji3]
 
Yeah nayajua walizuia chaguo la wananchi lowassa asiingie ikulu 2015, wamezuia wazalendo waliopinga mikataba mibovu ya madini kama kina lisu kwa mtutu,wamezuia kupinduliwa madikteta makatili kma nkuruzinza na kabila. Insanity!!! Kama TISS ingekuwa serious hata magufuli wala CCM isingekuwa inatawala leo hii.
Unajielewa kweli ndugu?

Nikudokeze tu kwamba Lowassa mwaka huo alipelekwa pale kimkakati na yeye mwenyewe ni katika haohao 😊

Acha kuongea kama umekatwa kichwa
 
Unajielewa kweli ndugu?

Nikudokeze tu kwamba Lowassa mwaka huo alipelekwa pale kimkakati na yeye mwenyewe ni katika haohao 😊

Acha kuongea kama umekatwa kichwa
Kimkakati ndio nini? Mbona Maalim alishinda uchaguzi ukafutwa!! Mkakati unatumika pale tu unapotaka kushinda kihalali ila kumtumia Lowassa ilihali kura ziliibwa ndio nini sasa?

Ni sawa unasema unamtuma mwanamke kimkakati kuiba pesa kutoka kwa tajiri ila hapo hapo unatuma majambazi kuja na mabunduki kuteka na kuiba sasa ndio nini?
 
Back
Top Bottom