Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Hujui ulitendalo. Jua jpm ndo aliharibu nchi hii na kuirudisha kwenye mstari itachukuwa ten years. Hakupenda transparency hivyo watu wakawa wanajipigia tu ndo mana ttcl imejiendesh kwa hasara na Bado wakawa wanalipa gawio the same to Atcl na trc. Angekuwepo jpm tusingesikia haya madudu. Amini nakwambia jpm alikuwa zaidi ya lucifer
Aisee
 
naomba kujua salary za watu wa vitengo ......nmejua juzi Kumbe mzee mpili ni usalama wa taifa
 
Recruit pool ni mbovu. Ndio maana tunapata product za hovyo
Ni kweli dhana ya 'mchakato wa recruitment' unaweza kuwa sahihi. Nini kifanyike kuondoa dosari hizo?

Umetazama dhana ya 'mamlaka' walionayo kwa mujibu wa sheria?
 
Ni kweli dhana ya 'mchakato wa recruitment' unaweza kuwa sahihi. Nini kifanyike kuondoa dosari hizo?

Umetazama dhana ya 'mamlaka' walionayo kwa mujibu wa sheria?

Return to the basic. Miaka ya nyuma walikuwa very selective. Na walikuwa wanachukua top cream kutoka maeneo mbali mbali.
Kwanza lazima kuwepo na sheria ambayo ina forbid hii taasis kuhusika na siasa kwa namna yoyote ile. Wanasiasa wasiwe na access na hii taasis by any means.
Tunachokiona sasa ni politics kupenya too deep in such politicians wanaweza amua nani aingie kwenye taasis bila kujali quality ya wahusika
 
Return to the basic. Miaka ya nyuma walikuwa very selective. Na walikuwa wanachukua top cream kutoka maeneo mbali mbali.
Kwanza lazima kuwepo na sheria ambayo ina forbid hii taasis kuhusika na siasa kwa namna yoyote ile. Wanasiasa wasiwe na access na hii taasis by any means.
Tunachokiona sasa ni politics kupenya too deep in such politicians wanaweza amua nani aingie kwenye taasis bila kujali quality ya wahusika
Matokeo ya recruitment hivi sasa ni juhudi za hao 'top cream' basi hata utendaji wao ni wa viwango vya juu kama ulivyo uwezo wao.

Upatikanaji wa kiongozi wake mkuu uweje, Achaguliwe kama Spika wa Bunge au ateuliwe kama ilivyo kwa nafasi za Jaji Mkuu na Wakuu wa Majeshi?
 
Matokeo ya recruitment hivi sasa ni juhudi za hao 'top cream' basi hata utendaji wao ni wa viwango vya juu kama ulivyo uwezo wao.

Upatikanaji wa kiongozi wake mkuu uweje, Achaguliwe kama Spika wa Bunge au ateuliwe kama ilivyo kwa nafasi za Jaji Mkuu na Wakuu wa Majeshi?

Nitapingana na point yako. Before jpm kulikuwa na dg (sitomtaja jina). Yeye ni moja ya selection za vijana enzi za mwinyi.
and alikuwa anaende kwa miiko na misimamo iliyopo until alipoondolewa.
Wanasiasa wanataka mtu ambae watampeleka kwa manufaa yao, aliefuata alisababisha mpaka vijana wa green waingizwe kwa wingi bila kujali quality. mpaka yule slow slow aliingizwa idara ya propaganda maeneo kwa nguvu ya politics wkt huo.
And by wkt huo ndioo siri nyingi zilivuja, misconduct mitaani zikaongezeka , vijana wao walikuwa hawajifichi tena wanajitangaza wazi wazi.

Tumefikaje hapa, politics. Turudi kwenye basics
 
Matokeo ya recruitment hivi sasa ni juhudi za hao 'top cream' basi hata utendaji wao ni wa viwango vya juu kama ulivyo uwezo wao.

Upatikanaji wa kiongozi wake mkuu uweje, Achaguliwe kama Spika wa Bunge au ateuliwe kama ilivyo kwa nafasi za Jaji Mkuu na Wakuu wa Majeshi?

Upatikanaji wa viongozi uwe kama wa jeshi, experience ,utashi na good perfomance vikubebe.
Jeshin kuna kura za wana kamati ambao jo seniour members wa jeshi, ukioita hapo basi you are qualified.

Uteuzi una weaknes nyingi sana
 
Kwani mishahara yao ina range ipi?
Hautakaa ufahamu kama siyo muajiriwa tena senior wa Idara.

Siasa za CCM zineharibu Idara hiyo ambapo ilipaswa kuwa taasisi kamili kama ilivyo JWTZ na kadhalika....
 
Informants wa kawaida anapataje access ya kuwasiliana na hao mabwana.

Ili wengine wajue njia ya kuwasiliana nao.


Asante.
Ni assignment based.... mfano umechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Yanga basi kuna jasusi anatumwa "kumweka sawa" ili kupitia hiko kiti aweze kupata taarifa za kijasusi. Fan base ya watu million 15 wanaweza mtumia mwenyekiti kupata nyaraka zote muhimu za mtu yoyote wanayetaka.

Hata ukiwa na kikundi mfano wasafi wanaweza kukutumia kama informant kujua drug rings zilizopo, money laundering schemes na mambo kama hayo maana obvious ukiwa msanii mkubwa una access na event organisers, sponsors, endorsements kibao.

Hata Maxence ni suala la muda tu atakua informant kama bado hajawa.
 
Ni assignment based.... mfano umechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Yanga basi kuna jasusi anatumwa "kumweka sawa" ili kupitia hiko kiti aweze kupata taarifa za kijasusi. Fan base ya watu million 15 wanaweza mtumia mwenyekiti kupata nyaraka zote muhimu za mtu yoyote wanayetaka.

Hata ukiwa na kikundi mfano wasafi wanaweza kukutumia kama informant kujua drug rings zilizopo, money laundering schemes na mambo kama hayo maana obvious ukiwa msanii mkubwa una access na event organisers, sponsors, endorsements kibao.

Hata Maxence ni suala la muda tu atakua informant kama bado hajawa.
Sasa unapata faida gani kuwa informants?
Na kwanini wakuone wewe kwenye kikundi kama cha wasafi chenye watu karibu 50.

Quality gani anakuwa nazo?

Asante.
 
Hautakaa ufahamu kama siyo muajiriwa tena senior wa Idara.

Siasa za CCM zineharibu Idara hiyo ambapo ilipaswa kuwa taasisi kamili kama ilivyo JWTZ na kadhalika....

Hii idara ilikuwa bora 70s na 80s. Backthen recruitment ilikuwa makini mno. Today viongoz wa chama fulani wanaweza ingiza wanachama or watoto ambao hawana qualification kabisa, ndio hapo idara inapoharibika.
Tumefikaje hapa?
 
Hii idara ilikuwa bora 70s na 80s. Backthen recruitment ilikuwa makini mno. Today viongoz wa chama fulani wanaweza ingiza wanachama or watoto ambao hawana qualification kabisa, ndio hapo idara inapoharibika.
Tumefikaje hapa?
Unazungumzia qualification!
Qualification ni zipi?

Kwanini hazifuatwi kwa sasa?
 
Back
Top Bottom