Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa we jamaa umenifanya nicheke kwa sauti..Basi jua alianzia TISS huwezi kwenda kuwa spy TISS jaribu kuficha ujinga na kupunguza pipipili kwenye chai.
Labda wewe atakuelewamengine hayawezi kuandikwa hapa yote, ila ujue kuna watu ni wanajeshi wako kwenye majeshi ya nchi nyingine huko kwa watu.
wamefanya usaili na wanapiga kozi basic mpaka wanafanikiwa kupanda ranks za juu kabisa, lakinina huku kwao wana vyeo kijeshi tena.
maofisa wa usalama wanafanya upelelezi wa mashaka yote yanayohatarisha usalama wa taifa kwa ujumla wake, ndio hapo muingiliano na kitengo cha jeshi(MI) huzaliwa.
lakini si kweli kwamba wa role kubwa kabisa kwenye mfumo wa wa utendaji wa jeshi, hapana.
Hapo umemaliza kila kituhata polisi haiwezekani vetting ifanywe na TISS,
ndio maana kuna utaratibu kwa igp kupeleka jina la anayetaka kuwa mrithi wake. na mara nyingi huwa yanapita.
Unaijua viiieeeteee wewe?? [emoji2] [emoji2]Mwanza uyo mwana yupogo anatembelea V8 baadhi ya sehemu anajulikana kama mganga wa kienyeji.
Umetumia VPN gani Kufungua Huu Uzi?Linaweza kuwa swali lisiloeleweka haraka, Labda nianze na simulizi kwanza
Mwaka 1979 Tanzania iliingia kwenye vita na Uganda maarufu kama vita ya KAGERA. Mwaka 1995 nilikutana na mzee Mkumbi(marehemu) mmoja wa watu ambao walikaribia kabisa kupigana vita hiyo. Miongoni mwa mambo aliyonisimulia ni kuwa yeye alirudia eneo la mwisho ambalo angetoka hapo ilikuwa ni moja kwa moja anaingia uwanja wa vita. Anasema alifurahi sana kwani akiwa kwenye eneo la mwisho ambalo daktari alikuwa anawapima afya ndipo alinusurika, kilichomnusuru ni kukutana na daktari ambaye alikuwa ndugu yake, akamuokoa kwa kueleza kuwa afya yake si mzuri.
Binafsi ingawa sikusema nilimshangaa sana huyu mzee kwa sababu alichokifurahia ni kukwepa majukumu yake ya msingi kama Mwanajeshi, hata huyo daktari kwangu bado hakuwa Mzalendo alitaka mtoto wa nani afe na wa nani abaki? Na hawa ndio wale ambao ni wengi wanaajiriwa kwenye majeshi yetu kwa njia za upendeleo lakini je tumeangalia nini athari yake?
Kuna hii idara maarufu ambayo wengi wanatamani kuajiriwa ambayo ni usalama wa Taifa, Licha ya mshahara na marupurupu yake upande wa pili wa idara hii ukoje(side effect yake ni ipi?) Kuna jamaa waliibuka kwa ahadi za kuajiri watu kwenye Idara hiyo ambapo walikuwa wanahongwa Mil 1 na kuendelea ili kuwapatia watu kazi kwenye Idara hiyo, Hivi ni kweli watu wanaoingia kwa mtindo huo watayaweza hayo majukumu? Au kazi yenyewe ni ile ya kupita kurekodi tu watu wanaomkosoa Rais kwenye vijiwe vya kahawa? Hakuna majukumu ambayo yanamtaka mtu kujitoa ambayo yanaweza kumfanya mtu akwepe kutimiza wajibu wake kama yule mzee aliyekwepa kwenda kupambana Uganda?
NAULIZA TU.
TISS wabeba lawama ila jamaa wanapiga kazi nzito sana.Tungetambua ni kiasi gani hao watu wa TISS wanavyotoil kuhakikisha taifa liko salama, tungefunga na kuwaombea mema kila siku
Hii amani tunayoiona hapa kwetu huku majirani zetu Congo, Burundi na Kenya wakichinjana haipo tu kwa bahati mbaya. Kuna watu wanavuja jasho na damu kuilinda!
Hapana unaijua weweUnaijua viiieeeteee wewe?? [emoji2] [emoji2]
TPDF ni takataka mbele ya TISS huwezi mlinganisha afisa na askari wa JWTZ hata huko TPDF wamejaa wanausalama kwa ufupi TISS ni kama damu katika mwili wa binadamu hata TPDF inategemea uwepo wa TISS kuwa hapo ilipo.Kama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,
Wewe fala hujui kuficha hata code jamaa yako umemvua nguo zote mchana kweupe 😡😡Kuna mmoja babake mkubwa aliwahi kuwa mkuu wa kitengo pale kijitonyama alivyotoka masomoni babake akampenyeza sehemu pale mjini kwenye kishirika cha serikali jamaa kila siku yeye ni kuchange magari na anatembea na bastora full mashauzi nowdays katupwa huko mbeya nimemkuta juzi na mark2 box kajichokeaaaaa.nikamkumbusha zile misele akaishia kusema wewe acha tuu. Ngosha alivyoingia kapandikiza watu wake ka kanda ya ziwa tu huko wengine tupa kule.
Asante kaka..Kazi za kinafiki
Wale ukiwatoa vibunduki vyao hawana la maanaZamani nilipokuwa nasikia TISS nilikuwa nafaa kusisimkwa, nikipata fantasy za kina Willy Gamba....baada ya kuwajua baadhi ya watu niliosoma nao na uwezo wao wa kiakili. Nilikuja jua ni upuuzi mtupu. Hata issue ya mishahara hamna lolote la maana. Wanalia njaa tu. Bora kuwa mjeshi mwenye cheo
Mtawala halisi wa dunia nchi yoyote ile ni jeshi. Mkuu wa jeshi akiwaambia vijana wake waingie mtaani na vifaru kila mtu anafyata...mifano mingi, Al Asis, Zimbabwe na sasaiv Maynamar. Wengine mbwembwe tu..Aungurumapo Simba mcheza naniLakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.
Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.
Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.
NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.
Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........
NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
unatala kusema hata salary zao ziko kawaida tu? sio kubwa kama zinavyodhaniwa?Zamani nilipokuwa nasikia TISS nilikuwa nafaa kusisimkwa, nikipata fantasy za kina Willy Gamba....baada ya kuwajua baadhi ya watu niliosoma nao na uwezo wao wa kiakili. Nilikuja jua ni upuuzi mtupu. Hata issue ya mishahara hamna lolote la maana. Wanalia njaa tu. Bora kuwa mjeshi mwenye cheo
hapa nitakupinga. JWTZ wana resources nyingi, na rasilimali watu wengi kuliko TISS.TPDF ni takataka mbele ya TISS huwezi mlinganisha afisa na askari wa JWTZ hata huko TPDF wamejaa wanausalama kwa ufupi TISS ni kama damu katika mwili wa binadamu hata TPDF inategemea uwepo wa TISS kuwa hapo ilipo.
Hamna kitu...kawaida tuunatala kusema hata salary zao ziko kawaida tu? sio kubwa kama zinavyodhaniwa?
Huna lolote unalolijua naomba ukae kimya tu mkuu.Hamna kitu...kawaida tu