Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

ACHENI acheni ACHENI mnasomwa hapa nyie nyie nyie. Laleni asubui muhamke
 
Basi jua alianzia TISS huwezi kwenda kuwa spy TISS jaribu kuficha ujinga na kupunguza pipipili kwenye chai.
Hahahaa we jamaa umenifanya nicheke kwa sauti..
Nadhani ujui sheria za kijeshi au za kujiunga na army laiti unge jua usinge andika huo upupu wako.
Ukimuona mwanajeshi yupo anapiga kazi TISS sio kwamba ameenda kupeleleza mambo ya huko, yupo kwa ajili ya tasks flani acha kuwa kichwa box.
Nadhani hujui ndani ya military ina vyuo vikumbwa vya intelligence na vinafundisha usalama wa ndani na nje kuliko hata vyuo vya TISS.
Na hata siku moja uwezi kuta eti usalama wa jeshi yupo anafanya kazi polisi eti kama undercover kuchunguza polisi wanafanyaje kazi au yupo kule TISS anachunguza wanafanyaje kazi,
Sasa wewe uli skia wapi kuna TISS yupo kama undercover ndani ya jeshi ana peleleza mambo ya jeshi huyo si atakuwa kama jasusi na sheria za jeshi lolote adhabu ni kupigwa risasi mpaka kufa.
 
Labda wewe atakuelewa
 
Umetumia VPN gani Kufungua Huu Uzi?
 
Umetumia VPN gani Kufungua Huu Uzi?
Ni uzi wa kizalendo tu huu, hauna shida hatuzungumzii Korona tunazungumzia mambo ambayo hata baadhi ya wanaojibu wanatia chumvi tu kwa mboga wasioijua
 
TISS wabeba lawama ila jamaa wanapiga kazi nzito sana.

Yaani ktk security layer hawa jamaa ndio layer ya kwanza,kazi yao ni ku-detect hali ya hatari kabla haija lifikia taifa,sio kazi ndogo na ndio maana mda wote wapo macho.
 
Kama hujui majukumu ya TPDF ni bora ukae kimya kuliko kuwadanganya wasomaji, TPDF ina majukumu mengi sana kuliko unavyofikilia kwenye ubongo wako, katika idadi ya vyombo vya ulinzi na usalama tulivyo navyo TPDF ni chombo cha juuu,
TPDF ni takataka mbele ya TISS huwezi mlinganisha afisa na askari wa JWTZ hata huko TPDF wamejaa wanausalama kwa ufupi TISS ni kama damu katika mwili wa binadamu hata TPDF inategemea uwepo wa TISS kuwa hapo ilipo.
 
Wewe fala hujui kuficha hata code jamaa yako umemvua nguo zote mchana kweupe 😡😡
 
Zamani nilipokuwa nasikia TISS nilikuwa nafaa kusisimkwa, nikipata fantasy za kina Willy Gamba....baada ya kuwajua baadhi ya watu niliosoma nao na uwezo wao wa kiakili. Nilikuja jua ni upuuzi mtupu. Hata issue ya mishahara hamna lolote la maana. Wanalia njaa tu. Bora kuwa mjeshi mwenye cheo
 
Wale ukiwatoa vibunduki vyao hawana la maana
 
Mtawala halisi wa dunia nchi yoyote ile ni jeshi. Mkuu wa jeshi akiwaambia vijana wake waingie mtaani na vifaru kila mtu anafyata...mifano mingi, Al Asis, Zimbabwe na sasaiv Maynamar. Wengine mbwembwe tu..Aungurumapo Simba mcheza nani
 
unatala kusema hata salary zao ziko kawaida tu? sio kubwa kama zinavyodhaniwa?
 
TPDF ni takataka mbele ya TISS huwezi mlinganisha afisa na askari wa JWTZ hata huko TPDF wamejaa wanausalama kwa ufupi TISS ni kama damu katika mwili wa binadamu hata TPDF inategemea uwepo wa TISS kuwa hapo ilipo.
hapa nitakupinga. JWTZ wana resources nyingi, na rasilimali watu wengi kuliko TISS.
and JWTZ sio brainless foot soldiers,kuna vitengo ndani yake, moja yao ni MI. officialy wana detachment yao maalum but sitoiweka hapa kwa sasa.
yes TISS mara kadhaa wanafanya recruitment toka jeshini, but it doesnt mean kwa JWTZ hawajui, or they know.
MI wanafanya kazi karibu na TISS.nila sio kwamba ni TISS.
hizi ni taasisi mbili zenye kazi tofauti. na kila mmoja ana umuhimu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…