Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Jeshi ndio kazi nzuri kabisa sbb unaingia moja kwa moja kupigania nchi inapobidi, na pia kawaida ya jeshi halina umbea umbea,,,
Jeshi kazi nzuri [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] laiti ungejua ugumu wa jeshi usingetamani jeshi...
 
Lakini mara nyingine TISS haiwezi kushughulikia maadui wa taifa bila kuwahusisha TPDF @ JWTZ,
Kuna matukio mengi ya kihatari ambayo yanakuwa militaristic sana na TISS hawawezi kuyamaliza wenyewe. Inahitaji ukusanywaji wa taarifa na mikakati ya kijeshi ili kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi wa hali ya juu sana.

Kikubwa zaidi ni kwamba TISS ina mkono mrefu sana kuliko TPDF @ JWTZ,
Kwasababu ni CIVILIAN INTELLIGENCE na inahusika na raia kwa moja kwa moja.
TPDF @ JWTZ Jurisdiction yao iko very limited kwasababu wao ni Purely Military tofauti kabisa na TISS.

Japo sasa,
Majasusi wengi wa TISS ambao ni heavy duty wanatokea JWTZ.
Kwasababu mfano tu, mwanajeshi Special Forces (Marine) anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi za kijasusi wa kijeshi kama Reconnaissance, Kutegua mabomu, kuchambua na kutafsiri mikakati ya kijeshi ya nchi za adui kuliko jasusi ambaye yuko uraini kila siku . Kikubwa ambacho jasusi wa TISS atamshinda huyu Jasusi aliyetoka jeshi ni "Broad Mind" kwasababu mwisho wa siku kila taarifa za kijasusi ziwe za Kijeshi au Kiraia (Raw Intelligence) ni lazima ichakatwe (Processed) kwa ajili ya matumizi ya Kiutawala(Civilian Administrative Purposes). Wanaochakata ni Analysts ambao ni Think Tanks kutokea TISS kwasababu wanakuwa na mtazamo wa kiraia... ..Hili ndilo linawafanya TISS wawe hatua kumi mbele ya JWTZ @ TPDF kama taasisi.

NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

Tuseme ukweli,
TISS na JWTZ ni mapacha wasiofanana (Fraternal Twins)
Hakuna anayeweza kufanya kazi bila kumtegemea mwenzake.
TISS IMARA=JWTZ IMARA..........

NB 2: Tusisahau pia kwamba JWTZ nao wana kitengo chao cha Intelijensia.
MILITARY INTELLIGENCE nacho kinafanya kazi na oparesheni kubwa sana za kijeshi.
Kazi yake ni kushughulikia maadui wa taifa covertly/clandestinely ambao ni purely Militaristic of Para-Militaristic in nature........
NB 1: TISS wanafanya kazi bampa tu bampa na JWTZ kwasababu Its the duty of the TISS to make sure the army behaves and remains royal to the government and the state at by and large......!!!! Hivyo contractors wengine wa TISS wanakuwa ni wanajeshi katika asilimia 100% na maisha yao yote ni kwenye Barracks za kule Lugalo au Ngerengere.

JESHI LIKIAMUA HAO TISS HAWANA UWEZO WA KUFANYA LOLOTE NDO MAANA UNANONA COUP NYINGI ZINAZOTOKEA HUWA ZINAKUWA ZA JESHI NDO MAANA MA RAISI WANAWEKA WAKUU WA MAJESHI WATU WAO
 
Jeshi kazi nzuri [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] laiti ungejua ugumu wa jeshi usingetamani jeshi...

Unafanya kazi za watu ila hao watu huwaoni[emoji16][emoji16].
 
Jeshi kazi nzuri [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] laiti ungejua ugumu wa jeshi usingetamani jeshi...
ni kazi nzuri ukiwa top.. From capt na kuendelea na ukiwa na kitengo. otherwise ukiwa ni mbarara huendi mahali
 
Usalama wa taifa ni neno pana sana hata ww pia ni usalama wa taifa sema kujiunga na kazi ya kuwa ofisa usalama wa taifa upande wake wa pili ukoje mzee hii kazi ni ngumu mno tofauti na watu wengi wanavyozani ni bora uwe mwanajeshi kuliko kiwa kachelo wa TISS.....
TISS ni moja ya kazi complex sana.
watu wanakuwa inspired na movie za kijasusi lakin in reality hizo kazi ni ngumu.
unaweza usiishi kwa uhuru mpaka unastaafu.
uzalendo wa hali ya juu na kujitolea sana kwenye hii kazi vinahitajika
 
Ni Tiss lakini kwakivuli cha commando wa jwtz umenipata mkuu

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
no bado ni active officer wa JWTZ. isipokuwa amekuwa attached TISS kama direct action officer ndani ya TISS.
Direct action units ziko responsible ku apply kazi za paramilitary kwenye operation za TISS pale panapohitajika.
Members wa hivi vikosi wanakuwa wana background za jeshi au bado ni active members wa jeshi.

kuwa attached na TISS kutoka kitengo chochote aimaanishi kazi ulipotokea imesha no. zinakuwa temporary attachments.
 
no bado ni active officer wa JWTZ. isipokuwa amekuwa attached TISS kama direct action officer ndani ya TISS.
Direct action units ziko responsible ku apply kazi za paramilitary kwenye operation za TISS pale panapohitajika.
Members wa hivi vikosi wanakuwa wana background za jeshi au bado ni active members wa jeshi.

kuwa attached na TISS kutoka kitengo chochote aimaanishi kazi ulipotokea imesha no. zinakuwa temporary attachments.
You sound like wa kwetu kwetu.......
 
ni kazi nzuri ukiwa top.. From capt na kuendelea na ukiwa na kitengo. otherwise ukiwa ni mbarara huendi mahali
Na unapo zungumzia real soldier ni Maaskari ma ather ranks wapiganaji hawa ndo wanajeshi sasa awo ma ofisa wanakula shumbwela tuu wanatokwa mavitambi wanapata ma presha na masukari tu mana hawana kazi yao kukaa ofisini kumonitor watu kuongoza watu bac ila balaa likitokea vitani wao wanakaa katikati wafuasi mbele na nyuma wanalindwa wao jeshi ni kazi ya Kis*ng* sana unakuta kipfisa kitoto kidogo ki capten nikakupiga beat mpaka unapagawa unarudi nyumbani kila siku una ma stress tuu...
 
Na unapo zungumzia real soldier ni Maaskari ma ather ranks wapiganaji hawa ndo wanajeshi sasa awo ma ofisa wanakula shumbwela tuu wanatokwa mavitambi wanapata ma presha na masukari tu mana hawana kazi yao kukaa ofisini kumonitor watu kuongoza watu bac ila balaa likitokea vitani wao wanakaa katikati wafuasi mbele na nyuma wanalindwa wao jeshi ni kazi ya Kis*ng* sana unakuta kipfisa kitoto kidogo ki capten nikakupiga beat mpaka unapagawa unarudi nyumbani kila siku una ma stress tuu...
Apo ndo utajua umuhimu wa elimu au cheo ukiwa jeshini

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
TISS na JWTZ hizi ni taasisi mbili zenye kazi tofautil.
Yaani nidhamu ya tiss iwe controled na jwtz ni total hoax.
Jwtz ndani yake wana Military intelligence.. hawa pia ni spies kama tiss. Tofauti wao wana gather intelligence sources for military.
Pia wana work kwa karibu na counterparts wao ambao ni Tiss.
Ndani ya JWTZ kuna TISS kibao tu,na ndani ya military intelligence pia wapo na wapo pia military intelligence lakini sio TISS
 
ASKOFU wa Catholic mlezi wa scout ni tiss

Shehe wa daa ni tiss

Menyekiti wa taboa ni t.iss

Umeona hiyo diversity?
 
Back
Top Bottom