Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

Polisi wasiachwe peke yao.

Rais kama ana akili zinazochaji aunde kikosi cha siri kinachojumuisha wataalam wa mawasiliano, psychoanalyst, askari wa ndani, intelligence advisors kutoka nje kwa kuanzia aujue ukweli wa hili jambo.

 
Ni kwa sababu tumefanya ili uitwe gaidi lazima uwe muislamu, mfano matukio kama hayo ya watu kufanya mashambulizi kwa silaha hufanyika sana huko Marekani ila kwa sababu wafanyaji sio waislamu basi hayo matukio hayahusishwi na ugaidi na hao wafanyaji hawaitwi magaidi.
Tuache ya Marekani, tuongelee huyu wa leo hapa nchini mwetu. Je, ni Muislamu au siyo Muislamu?
 
Huyu jamaa baba yake amewaachia migodi ya dhahabu chunya wana hali nzuri sana ya kiuchumi,
Kilichotokea ni kwamba jamaa walimtosa visa ya kwenda Ufaransa zaidi ya mara nne nahisi ni kama amewajibu japo hakuwa na huo ujumbe
 
Iyo kesho asubuhi unaweza kuta asikari wametanda kibao kuanzia moroko hadi posta,askari wetu wanacheza na tukio lilipotokea
na wanapiga watu mabuti watakaokatiza mitaa hyo na kusekwa ndani usaidie jeshi ra porisiiiiiiii
 
Askari wakiguswa wao huwa wanakuwa serious, nikikumbuka case ya libetatus barlow wa mwanza napata picha
Hua wanasema you can't kill a police officer and get away with it.

Mnaweza kua na kibaka anasumbua mtaa na polisi wasifanye kitu ila siku akiua polisi, huo mtaa vibaka na wezi wote watakachofanyiwa hawatasahau.
 
Huyu Hamza ni nini kilimpata?? Mbona picha zake na detail zake anaonekana ni jamaa poa tu asieshabihiana na mambo ya kigaidi na ule ubonge si rahisi mtu kudhani anaweza kuua hata mende (kwa jinsi wati wanene wanavochuliwa na jamii kwa sasa) .

Sasa huyu mwamba kajazwa madudu gani huko kichwani hadi aanze kuwachapa shaba askari, kuwapora bunduki na kushambuliana nao. Na jamaa alikua anakitafuta kifo tu na alilijua hilo wala hakua na wasiwasi, nini kalishwa huyu jamaa.
unaweza kuta labda kuna jambo aliyendewa na polisi ,u never know na jinsi polis! yetu ilivyo ya kuoneaonea
 
Back
Top Bottom