Huu ndo ukweli.Hamna jipya hapo
Sasa hivi jeshi la wananchi limeanza tena kutumika kama toilet paper kwa manufaa ya wanasiasa wa CCM.Hatujawahi kuwa na Tanzania ya hovyo kama hii tokea uhuru.Naamini itahusu habari za tishio la ugaidi kwasababu ya matukio yaliyotokea Uganda hivi katibuni, hapa kwetu hatuna shida na ugaidi tena inawezekana tuna hamu nao sana ndio maana tunawapa watu kesi za uongo.
Kama unakijua kwann usiseme? We mwenyewe upo hapa kuokota taarifa utupie kwenye makundi ya WhatsAppkitendo tu cha kusema 4:00 wataanza na sasa ni 4:32 kinanipa nafasi ya nini kinaenda kuzungumzwa
Naamini itahusu habari za tishio la ugaidi kwasababu ya matukio yaliyotokea Uganda hivi katibuni, hapa kwetu hatuna shida na ugaidi tena inawezekana tuna hamu nao sana ndio maana tunawapa watu kesi za uongo.
itakua kuhusu miaka 60 ya uhuruSalaam Wakuu,
Leo Jeshi la Wananchi Tanzania, linafanya Mkutano na Waandishi wa habari. Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kutoa Tamko Maalumu 30 Novemba, 2021
Nipo Nimefika kwenye Ukumbi huu kuwajuza kila kitakachojiri.
=====
UPDATES: 1022hrs
======
View attachment 2027879
Waandishi wameshafika eneo la tukio
Kwahiyo umeanza kuhukumu kabla ya kusikia kitakachoongelewa??Sasa hivi jeshi la wananchi limeanza tena kutumika kama toilet paper kwa manufaa ya wanasiasa wa CCM.Hatujawahi kuwa na Tanzania ya hovyo kama hii tokea uhuru.
kwanini Dar na hali makao makuu ya nchi ni DODOMA?Salaam Wakuu,
Leo Jeshi la Wananchi Tanzania, linafanya Mkutano na Waandishi wa habari. Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kutoa Tamko Maalumu 30 Novemba, 2021
Nipo Nimefika kwenye Ukumbi huu kuwajuza kila kitakachojiri.
=====
UPDATES: 1022hrs
======
View attachment 2027879
Waandishi wameshafika eneo la tukio
1034 hrs: Gervas Ilonda
View attachment 2027914
Wengi tumekutana hapa kujua ni nini hasa tunataka kuzungumza. Siji kutoa tamko bali nimekuja kutoa ufafanuzi wa mambo ambayo jeshi limeona yanaendelea. Hatuwezi kuyafumbia macho.
Kuna mtu ameuliza swali la msingi humu hajajibiwa hadi sasakwanini Dar na hali makao makuu ya nchi ni DODOMA?
Wewe tema tu huu utumbo wako, usijione mjanja sanaSasa hivi jeshi la wananchi limeanza tena kutumika kama toilet paper kwa manufaa ya wanasiasa wa CCM.Hatujawahi kuwa na Tanzania ya hovyo kama hii tokea uhuru.
Na mimi piaNimetega sikio
Kumbe huwa harudigi salama?Hivi jana mama alirudi salama kutoka mwanza
Mr wake atajibu soonHivi jana mama alirudi salama kutoka mwanza