Upanga, Dar: Yaliyojiri kutoka Ukumbi wa JWTZ, Mkutano na Waandishi wa Habari

Aisee hivi ni kweli hakunaga upendeleo wa kijiunga huko, 😀😃😃😃
 
Kuwaweka watu hapo kumbe ni hilo tu wangesema wamewakamataa wahusika itakuwa bora.....jeshiiiiii buana naliheshimu lakina leo EMPTY kabisa
Hapa wamechemsha. Unless kama watakuwa wamebadili mawazo. Si wangetoa tu kapress release badala ya kuweka nchi kihoro.... Unless wanatuandaa kisaikolojia...!!
 
haya mambo si yalipaswa yasemwe na wizara ya ulinzi na is jeshi lenyewe? huko nyuma yalikuwa yanasemwa na waziri wa ulinzi au ye yote kwa niaba yake, huyu mabeyo ameamua kufanya hivi kwa kuwa rais na waziri wa ulinzi ni wanawake?
Aisee khaa wabongo noma!
 
Sasa hivi jeshi la wananchi limeanza tena kutumika kama toilet paper kwa manufaa ya wanasiasa wa CCM.Hatujawahi kuwa na Tanzania ya hovyo kama hii tokea uhuru.
Wasio miliki nyumba nao wanalipishwa kodi ya majengo ili makusanyo yanone. Hata 'Zakayo' hakufanya hivyo.
 
Mabeho angekemea hawa watawala uchwara waliobuni kesi za ugaini kwa matakwa yao ya kiuchwara kwani yanalipaka matope Taifa.
Free Freeman Mbowe
 
Aliyowaitia waandishi wa habari amekatazwa kuyasema dakika za mwisho! Utajua tu katika ufunguzi wa speech yake. Si siyo mbumbmbu!
 
Aliyowaitia waandishi wa habari amekatazwa kuyasema dakika za mwisho! Utajua tu katika ufunguzi wa speech yake. Si siyo mbumbmbu!
Kwakua mlichotaka kukisikia hamjakisikia basi unaona ujiridhishe kihiv yan!! 😂😂
 
Kwa msingi huu unaweza kufikiria au kuwaza, kwani wao kama kitengo muhimu hawana utawala nora wa kuwaajiri au kuwatahini wanaohitajika hadi waletewe vijana. Inadhihirish wazi ule mtindo wa vikaratasi bado upo na ndio maaana hatuendi mbele.
Nadhani kitenho cha uajiri kinahitaji kujiongeza zaidi.
 
haya sasa wale mbumbumbu walokuwa wanamponda mama na uongozi wake wakisubiri kwa hamu tamko la jeshi wamejinyea tyari.

mama ni mzr, mchapakazi anashaurika, na hekima anayo hata hao wafanyakazi wake JW wanalijua hilo na dunia nzima tunalitambua hilo.
 
JWTZ ni Jeshi la kizalendo, lenye utii, weledi na uadilifu. Limesukwa kimfumo tangu enzi za Mwalimu. Mnaofanya utapeli ili kuchafua Jeshi acheni. Na hayo mawazo mengine ya kipori pori kamwe hayawezi kutokea Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…