Kweli tuweke utaratibu wa kuamkiana humu2012 matokeo yalitoka ki marks, na ndo mwaka wa mwisho kutoka ki marks std 7,
Ila kuanzia 2013 ndo ilianza kwa Grade. Na mwaka ule kuanzia 210 marks ndo unaenda vipaji, ufundi na bweni.
Nilipata marks 223 nilienda zangu shule ya bweni.
Ujinga mtupu na una mawazo ya kijima wakati wa giza.Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.
Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.
Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.
Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.
Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?
Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.
Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.
Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?
Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.
Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?
Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.
MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.
Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Magenius wa kukariri vitu ama kufanya UGUNDUZI?Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.
Kipani na B katika masomo mawili. Siku watoto maelfu wanapata A zote Hadi wa vijijini ndani ndani kabisa.Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.
Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.
Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.
Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.
Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?
Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.
Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.
Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?
Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.
Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?
Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.
MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.
Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Hamna namna shule zenyewe nyingi zinahitaji wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakuta mtu kasoma St Fulani, anapangwa Mfaranyaki sec
Vijijini ndani ndani , unafahamu kuwa huko hakuna waalimu? Mazingira ni magumu katika kujifunza ! Tofauti na mijini halafu anapata huo ufaulu TAIFA linaona ni ufaulu wa kawaida tu !!Kipani na B katika masomo mawili. Siku watoto maelfu wanapata A zote Hadi wa vijijini ndani ndani kabisa.
HujaelewekaMagenius wa kukariri vitu ama kufanya UGUNDUZI?
Andika kwa busara ili ujitofautishe !! Kama Taifa halitambuo MAGENIUS au linawatambua kwa MKULULO , pelekapeleka FAIDA yake ndo hiyo hawawezi kuwa na msaada.Ujinga mtupu na una mawazo ya kijima wakati wa giza.
Hao unaowaita ma genius waliokuwa wanapelekwa special talent schools wamelisaidia nini taifa?
Mtoto kama ana akili anazo tu hata asome shule za kata atatoboa tu.
Umeandika vzr sana, lkn kuna sababu gani ya kuweka neno " UJINGA"jitahidi kufuatilia sehemu nyingine,Sio unakurupuka tu.Unaonekana upo nyuma kwa kila kitu.Kaka wakati huu sio kama kipindi cha nyuma.Yaan huyo ni mwanafunzi wa kawaida sana.ingekuwa kama zaman hesabu unakokotoa mwanzo mwisho angeenda.sasa hesabu za machagulio alafu ana B mbili unakuja kulia hapa.acha ujinga
Unafuu kulingana na zingine, kisha mnaokutana ni rahisi kusaidiana kimasomo.Tanzania hakuna special school iliyopo chini ya serikali, it is just a propaganda.Kama zipo uspesho wake upo kwenye nini?
Huo unafuu ni wa kitu gani ambao zingine hazina.Unafuu kulingana na zingine, kisha mnaokutana ni rahisi kusaidiana kimasomo.
Waalimu wapoHuo unafuu ni wa kitu gani ambao zingine hazina.
Mwanangu alifaulu darasa la saba alipata alama A+ masomo yote. Lakini akachaguliwa kwenda shule ya kata ambayo hata waalimu wake ni wachache mno.Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.
Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.
Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.
Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.
Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?
Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.
Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.
Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?
Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.
Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?
Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.
MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.
Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Hapo ndipo tatizo linapoanzia UMEFIKIRI KWA KINA.Mwanangu alifaulu darasa la saba alipata alama A+ masomo yote. Lakini akachaguliwa kwenda shule ya kata ambayo hata waalimu wake ni wachache mno.
Ni upuuzi wa maafisa elimu kusabottage serikali kwa kuvurunda kuwapanga watoto kulingana na ubora wao wa ufaulu ili wazazi wawaondoe watoto kwenye shule za umma na nafasi zao ziuzwe
Mm au mleta mada?Wewe fala tu. Nilidhani Justine ana A zote kumbe ana B 2.Are you serious kumuita ni genius?
Genius anapata wapi B ?
Kenge wewe. Yaelekea umeishia darasa la 4
Hakika simfahamu kijana HUYU, halafu itoshe kusema tujitahidi kufikiri kwa kina.Au wa ndugu yake au wa mchepuko wake yote yanawezekana.
Waweza fikiria hivyo lkn hata hiyo shule acha mwanafunzi SIIJUI,Unampakulia minyama mtoto wako au sio