Upangaji wanafunzi uvivu UACHWE

Upangaji wanafunzi uvivu UACHWE

2012 matokeo yalitoka ki marks, na ndo mwaka wa mwisho kutoka ki marks std 7,

Ila kuanzia 2013 ndo ilianza kwa Grade. Na mwaka ule kuanzia 210 marks ndo unaenda vipaji, ufundi na bweni.

Nilipata marks 223 nilienda zangu shule ya bweni.
Kweli tuweke utaratibu wa kuamkiana humu
 
Achana na huyu kijana kupangiwa pandambili barabarani kabisa pale mjini mkuu.

Kuna shule iko mbele yake kama unaenda mpakani mwa dom na manyara inaitwa hembahemba,nilienda pale mwaka 2019 kuna mapacha wawili kipindi kile walikuwa kidato cha tatu . Uwezo wao kimasomo kwakweli ulikuwa hauendani na ile shule,yaani mwanafunzi anamfundisha mwalimu.

Nilijiuliza maswali mengi sana kwanini wako pale.

Mimi syo muumini wa kuangalia ukabila lakini eneo lile kwa % kubwa wanaishi wakinga ndyo maana wengi wana akili sana.
 
Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.

Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.

Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.

Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.

Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?

Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.

Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.

Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?

Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.

Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?

Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.

MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.

Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Ujinga mtupu na una mawazo ya kijima wakati wa giza.

Hao unaowaita ma genius waliokuwa wanapelekwa special talent schools wamelisaidia nini taifa?

Mtoto kama ana akili anazo tu hata asome shule za kata atatoboa tu.
 
Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.
Magenius wa kukariri vitu ama kufanya UGUNDUZI?
 
Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.

Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.

Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.

Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.

Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?

Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.

Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.

Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?

Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.

Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?

Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.

MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.

Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Kipani na B katika masomo mawili. Siku watoto maelfu wanapata A zote Hadi wa vijijini ndani ndani kabisa.
 
Mimi mdogo wangu alipata grade A darasa la nne , Tukamuweka form two na baadae form four na akapata one ya 9 form four Ana umri wa mika 13 yupo anasoma clinical medicine muhimbili.


Kazi za nyumbani huwa anaachiwa duka anauza na kupiga hesabu na kufata mzigo personally ndo maisha ya kijana hayo.

Kabla haujalalamika mtazame mwanafunzi kuna watu ni Gift from God .
 
Kipani na B katika masomo mawili. Siku watoto maelfu wanapata A zote Hadi wa vijijini ndani ndani kabisa.
Vijijini ndani ndani , unafahamu kuwa huko hakuna waalimu? Mazingira ni magumu katika kujifunza ! Tofauti na mijini halafu anapata huo ufaulu TAIFA linaona ni ufaulu wa kawaida tu !!

Nasema HAPANA kama Taifa tunajijua maeneo yetu ya vijijini TUSIJIFANYE VIPOFU.
 
Ujinga mtupu na una mawazo ya kijima wakati wa giza.

Hao unaowaita ma genius waliokuwa wanapelekwa special talent schools wamelisaidia nini taifa?

Mtoto kama ana akili anazo tu hata asome shule za kata atatoboa tu.
Andika kwa busara ili ujitofautishe !! Kama Taifa halitambuo MAGENIUS au linawatambua kwa MKULULO , pelekapeleka FAIDA yake ndo hiyo hawawezi kuwa na msaada.

Mtoto mwenye akili pale unapomuona anatoboa yy mwenyewe kaa ukijua kuna mengi yaliyotaka kuchipuka kwake YAMEVIA jicho la kawaida linaona KAPAMBANA.
 
jitahidi kufuatilia sehemu nyingine,Sio unakurupuka tu.Unaonekana upo nyuma kwa kila kitu.Kaka wakati huu sio kama kipindi cha nyuma.Yaan huyo ni mwanafunzi wa kawaida sana.ingekuwa kama zaman hesabu unakokotoa mwanzo mwisho angeenda.sasa hesabu za machagulio alafu ana B mbili unakuja kulia hapa.acha ujinga
Umeandika vzr sana, lkn kuna sababu gani ya kuweka neno " UJINGA"

Au ndo Taifa letu watu wake tupo HIVYO!!

Huo ni mfano mdogo tu! YAWEZEKANA kweli huyo kijana hana SIFA hizo !! lkn chaguzi za shule zinafanyika kwa WELEDI? hawana UVIVU?

Angalia utakuta watoto toka shule moja ya MSINGI wote wanapelekwa SEKONDARI 1.

MF shule za sekondari ziko 3 shule za msingi ziko 4 hapo kinachofanyika ni nn?
Wanafunzi hawachangaywi
 
Tanzania hakuna special school iliyopo chini ya serikali, it is just a propaganda.Kama zipo uspesho wake upo kwenye nini?
Unafuu kulingana na zingine, kisha mnaokutana ni rahisi kusaidiana kimasomo.
 
Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.

Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.

Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.

Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.

Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?

Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.

Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.

Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?

Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.

Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?

Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.

MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.

Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Mwanangu alifaulu darasa la saba alipata alama A+ masomo yote. Lakini akachaguliwa kwenda shule ya kata ambayo hata waalimu wake ni wachache mno.

Ni upuuzi wa maafisa elimu kusabottage serikali kwa kuvurunda kuwapanga watoto kulingana na ubora wao wa ufaulu ili wazazi wawaondoe watoto kwenye shule za umma na nafasi zao ziuzwe
 
Mwanangu alifaulu darasa la saba alipata alama A+ masomo yote. Lakini akachaguliwa kwenda shule ya kata ambayo hata waalimu wake ni wachache mno.

Ni upuuzi wa maafisa elimu kusabottage serikali kwa kuvurunda kuwapanga watoto kulingana na ubora wao wa ufaulu ili wazazi wawaondoe watoto kwenye shule za umma na nafasi zao ziuzwe
Hapo ndipo tatizo linapoanzia UMEFIKIRI KWA KINA.
 
Wewe fala tu. Nilidhani Justine ana A zote kumbe ana B 2.Are you serious kumuita ni genius?
Genius anapata wapi B ?
Kenge wewe. Yaelekea umeishia darasa la 4
Mm au mleta mada?
Au hujui kutofautisha?
 
Au wa ndugu yake au wa mchepuko wake yote yanawezekana.
Hakika simfahamu kijana HUYU, halafu itoshe kusema tujitahidi kufikiri kwa kina.

Hiki ni kiwakilishi tu! Wapo wengi zaidi ya huyu wanapotea , lkn wale wanaofikiri kwa juu juu HUISHIA kwa justine.
 
Unampakulia minyama mtoto wako au sio
Waweza fikiria hivyo lkn hata hiyo shule acha mwanafunzi SIIJUI,

MWL wake mkuu nilionyeshwa kanisani, kazi ya baba yake niliwaliza watoto wakaniambia ni FUNDI.
 
Back
Top Bottom