under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 389
- 595
- Thread starter
-
- #81
The Hyper unao uelewa mpana na umemjibu vizur sanaMmh.....
Mimi nilishuhudia,nurse midwife akimzuia dokta uchwara kuwa "Huyu si wa operation naweza msaidia akajifungua salama"
Dr uchwara akasusa"Akifa mama/mtoto utawajibika"
Yule nurse alipambana mama&mtoto wakatoka salama.
Jiulize ni wangapi wanapigwa visu isivyostahili?
Mbona previously wengi walijifungua salama tu bila operation?
Si kila mzazi ni wa operation!
Tuna madaktari wa hovyo sana siku hizi.
Tena wasio na uzoefu,na wamepewa dhamana kubwa.
Ambao kutibu mgonjwa tu mpaka wa google.
Hili nalo hulijui?
tukisema tunaitwa wajuajiNi kero sanaaa,why this miaka hii? Na usipokuwa na msimamo mkeo akifika tu hospital ni upazuaji tu hata hawafuati hatua za kumzalisha kawaida, why?
Hakika mkuuMtoa mada ana hoja naomba asikilizwe msimdhihaki tafadhali maana hili jambo la C/S siku hizi linatafakarisha sana.
Mkuu mimi nimekupata vizuri mno, ila shida angu iko kwa wahudumu wa afya wasio na huruma na wasiowaaminifu kutengeneza mazingira ya kufanya op hata kwa mtu ambae hakuwa na shida ya lazma kupasuliwa kwa faida zao binafsiMkuu, karibu sana hospital Tena kitengo cha akina mama ndo utaelewa maana yake
Kuongezeka kwa idadi ya kujifungua kwa kisu ni mambo mengi yanachangia
1. Nimeona wamama wao wenyewe wakitaka kujifungua kwa kisu, ni vle hawataki complications za kusukuma, kutanua uke,...
2. Msukumo (presha) kubwa ambayo serikali inaweka kwenye huduma ya akina mama
Hii nchi ni Bora mgonjwa wa sukari afariki(hata kama imetokana na uzembe) kuliko mama/mtoto afariki wakati wa kujifungua. Kwahyo watu wa afya wanaona ni Bora kufanya operation kuliko kuhatarisha maisha ha mama/mtoto
3. Medical reasons Kwa ajili ya cesarian section kama mtoto kuwa mkubwa, presha/kifafa cha mimba, kisukari cha mimba,
4. Wamama wengi wanabeba mimba katika umri mkubwa ambayo ni risk ya kupata Post partum hemorrhage, Moja Kati ya sababu kubwa ya vifo vya akina mama, kwahyo kuepusha hayo, ni Bora kuzaa kwa kisu
5. Grand multiparity. Unakuta mama amezaa mara 8, misuli ya mji wa mimba imeshachoka. Kwahyo kusukuma inakua ni ngumu
6. Previous scar. Upasuaji wowote katika mji wa mimba mfano, kujifungua kwa operation, kuondolewa uvimbe...unaacha kovu(scar) kwnwye uterus(mji wa mimba) hivyo ni hatari sana mama kuja kujifungua kawaida maana mfuko utakua kwenye hatari ya kupasuka (uterine rupture. Na hvyo njia inayobaki ni kujifungua kwa kisu Tena na Tena
Huyo mpotezee tu, na ndio tatizo la baadhi ya WaTZ badala ya kutoa mtazamo wake na kile anachoelewa, anaanza kwa kukuponda na kuacha swali badala ya kuweka mchango ambao utaongeza ufahamu kwa wengiKwahiyo shida ni wanzuki sio?
Ongea vizuri na Mkeo,wamama wa sikuizi wanapenda sana upasuaji simply hawataki kupitia uchungu na wanaamini wanalinda **** isilegee.Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.
Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.
UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.
We chizi nini, aliyekuambia upasuaji unapunguza vifo vya wamama na watoto ni nani? NyambafuKama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
Mkuu...kama kuna inshu kama hyoMkuu mimi nimekupata vizuri mno, ila shida angu iko kwa wahudumu wa afya wasio na huruma na wasiowaaminifu kutengeneza mazingira ya kufanya op hata kwa mtu ambae hakuwa na shida ya lazma kupasuliwa kwa faida zao binafsi
hilo nalo lipo siping mkuuOngea vizuri na Mkeo,wamama wa sikuizi wanapenda sana upasuaji simply hawataki kupitia uchungu na wanaamini wanalinda **** isilegee.
Unaweza kudhani ni Wataalamu wa afya kumbe pendekezo la mteja ila umezungukwa.
Sijajua kwa Bongo ila nilienda hospital ya Waturuki ipo Unguja nikaikuta hiyo huduma na wameandika kabisa kwenye mlango "Leba bila Maumivu inawezekana" walisema kuna sindano wanamchoma mama yaani anasukuma huku anajisnap akitaka, sema sikutaka kujifungulia Unguja.Huko ulaya nasikia kuna dawa ya kupunguza makali ya uchungu na sie watuletee jamani, uchungu unaogopesha nyie
Wenzetu wanapunguziwa maumivu nyie uchungu unaumaaaa aaaiii achaaSijajua kwa Bongo ila nilienda hospital ya Waturuki ipo Unguja nikaikuta hiyo huduma na wameandika kabisa kwenye mlango "Leba bila Maumivu inawezekana" walisema kuna sindano wanamchoma mama yaani anasukuma huku anajisnap akitaka, sema sikutaka kujifungulia Unguja.
Wewe mishono ya sikuizi umeiona lakini??Kwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuingiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Kuna jamaa akasema kuwa kama wewe sio mzazi yaani unayezaa na sio muuguzi ama daktari nyamaza Naona alikuwa Yuko sahihiSababu zake ni TANO:-
. Upasuaji ni biashara, so madaktari wanashauri upasuaji kwa malengo ya kifedha zaidi.
. Wanawake wengi wanaogopa ku push. Wanahofia maumivu ya kuchanika.
. Wanawake wanajua kuzaa bila njia ya kawaida kunafanya K zao ziwe tight, zisiperepete,
. Wanawake wanatumiwa njia ya nyuma kungonoka. Hivyo wanajua Hawataweza kupush kwa kawaida maana nyuma kutakuwa kumelegea
. Zipo sababu za ki afya pia Ili hizo ni chache sana.
Kila dokta atakaekufanyia op ana laki yakeKama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.