KERO Upasuaji kwa wajawazito imekuwa kama lazima, ni kero kubwa

KERO Upasuaji kwa wajawazito imekuwa kama lazima, ni kero kubwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mmh.....
Mimi nilishuhudia,nurse midwife akimzuia dokta uchwara kuwa "Huyu si wa operation naweza msaidia akajifungua salama"
Dr uchwara akasusa"Akifa mama/mtoto utawajibika"
Yule nurse alipambana mama&mtoto wakatoka salama.
Jiulize ni wangapi wanapigwa visu isivyostahili?
Mbona previously wengi walijifungua salama tu bila operation?
Si kila mzazi ni wa operation!
Tuna madaktari wa hovyo sana siku hizi.
Tena wasio na uzoefu,na wamepewa dhamana kubwa.
Ambao kutibu mgonjwa tu mpaka wa google.
Hili nalo hulijui?
The Hyper unao uelewa mpana na umemjibu vizur sana
 
Mkuu, karibu sana hospital Tena kitengo cha akina mama ndo utaelewa maana yake
Kuongezeka kwa idadi ya kujifungua kwa kisu ni mambo mengi yanachangia
1. Nimeona wamama wao wenyewe wakitaka kujifungua kwa kisu, ni vle hawataki complications za kusukuma, kutanua uke,...
2. Msukumo (presha) kubwa ambayo serikali inaweka kwenye huduma ya akina mama
Hii nchi ni Bora mgonjwa wa sukari afariki(hata kama imetokana na uzembe) kuliko mama/mtoto afariki wakati wa kujifungua. Kwahyo watu wa afya wanaona ni Bora kufanya operation kuliko kuhatarisha maisha ha mama/mtoto
3. Medical reasons Kwa ajili ya cesarian section kama mtoto kuwa mkubwa, presha/kifafa cha mimba, kisukari cha mimba,
4. Wamama wengi wanabeba mimba katika umri mkubwa ambayo ni risk ya kupata Post partum hemorrhage, Moja Kati ya sababu kubwa ya vifo vya akina mama, kwahyo kuepusha hayo, ni Bora kuzaa kwa kisu
5. Grand multiparity. Unakuta mama amezaa mara 8, misuli ya mji wa mimba imeshachoka. Kwahyo kusukuma inakua ni ngumu
6. Previous scar. Upasuaji wowote katika mji wa mimba mfano, kujifungua kwa operation, kuondolewa uvimbe...unaacha kovu(scar) kwnwye uterus(mji wa mimba) hivyo ni hatari sana mama kuja kujifungua kawaida maana mfuko utakua kwenye hatari ya kupasuka (uterine rupture. Na hvyo njia inayobaki ni kujifungua kwa kisu Tena na Tena
Mkuu mimi nimekupata vizuri mno, ila shida angu iko kwa wahudumu wa afya wasio na huruma na wasiowaaminifu kutengeneza mazingira ya kufanya op hata kwa mtu ambae hakuwa na shida ya lazma kupasuliwa kwa faida zao binafsi
 
Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.

Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.

UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.
Ongea vizuri na Mkeo,wamama wa sikuizi wanapenda sana upasuaji simply hawataki kupitia uchungu na wanaamini wanalinda **** isilegee.
Unaweza kudhani ni Wataalamu wa afya kumbe pendekezo la mteja ila umezungukwa.
 
Mkuu mimi nimekupata vizuri mno, ila shida angu iko kwa wahudumu wa afya wasio na huruma na wasiowaaminifu kutengeneza mazingira ya kufanya op hata kwa mtu ambae hakuwa na shida ya lazma kupasuliwa kwa faida zao binafsi
Mkuu...kama kuna inshu kama hyo
Na unamfahamu mhusika na uko na ushahidi,Fanya uende hospital
 
Ongea vizuri na Mkeo,wamama wa sikuizi wanapenda sana upasuaji simply hawataki kupitia uchungu na wanaamini wanalinda **** isilegee.
Unaweza kudhani ni Wataalamu wa afya kumbe pendekezo la mteja ila umezungukwa.
hilo nalo lipo siping mkuu
 
Huko ulaya nasikia kuna dawa ya kupunguza makali ya uchungu na sie watuletee jamani, uchungu unaogopesha nyie
 
Huko ulaya nasikia kuna dawa ya kupunguza makali ya uchungu na sie watuletee jamani, uchungu unaogopesha nyie
Sijajua kwa Bongo ila nilienda hospital ya Waturuki ipo Unguja nikaikuta hiyo huduma na wameandika kabisa kwenye mlango "Leba bila Maumivu inawezekana" walisema kuna sindano wanamchoma mama yaani anasukuma huku anajisnap akitaka, sema sikutaka kujifungulia Unguja.
 
Sijajua kwa Bongo ila nilienda hospital ya Waturuki ipo Unguja nikaikuta hiyo huduma na wameandika kabisa kwenye mlango "Leba bila Maumivu inawezekana" walisema kuna sindano wanamchoma mama yaani anasukuma huku anajisnap akitaka, sema sikutaka kujifungulia Unguja.
Wenzetu wanapunguziwa maumivu nyie uchungu unaumaaaa aaaiii achaa
 
Kwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuingiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Wewe mishono ya sikuizi umeiona lakini??
 
Miaka hii kuna madaktari wa ovyo kabisa, kutibu wagonjwa ni hadi waka- google kwanza. CCM imeleta laana kwa Taifa
 
Upasuaji kwa Hospitali za Serikali sio Biashara pamoja na hilo unatakiwa ujue kuna sababu nyingi zinazopelekea mjamzito kufanyiwa upasuaji ikiwemo kumuokoa Mama, Mama na Mtoto au Mtoto peke yake.
Naamini Madaktari waliopo hapa watakuelewesha zaidi.
 
Sababu zake ni TANO:-

. Upasuaji ni biashara, so madaktari wanashauri upasuaji kwa malengo ya kifedha zaidi.

. Wanawake wengi wanaogopa ku push. Wanahofia maumivu ya kuchanika.

. Wanawake wanajua kuzaa bila njia ya kawaida kunafanya K zao ziwe tight, zisiperepete,

. Wanawake wanatumiwa njia ya nyuma kungonoka. Hivyo wanajua Hawataweza kupush kwa kawaida maana nyuma kutakuwa kumelegea

. Zipo sababu za ki afya pia Ili hizo ni chache sana.
Kuna jamaa akasema kuwa kama wewe sio mzazi yaani unayezaa na sio muuguzi ama daktari nyamaza Naona alikuwa Yuko sahihi
 
Nimetoka kumzika shangazi wa mpenzi wangu aliyefariki wiki tatu baada ya upasuaji wa aina hiyo RIP.
 
Kama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,

Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
Kila dokta atakaekufanyia op ana laki yake
 
Back
Top Bottom