Upasuaji wa bawasiri

Upasuaji wa bawasiri

Ulijaribu kuchemsha majani mabichi ya mpapai kisha unatawaza(kuchamba) dawa ikiwa bado vugu vugu?
Ikikusaidia dawa hii tuletee mrejesho utawasaidia na wengine.
Unaweza ukajikanda kwa hayo maji.
Asante mkuu
 
Asante mkuu
Hua inaondoka yenyewe badiri mfumo wa maisha yako ya vyakula hio nyama inashuka chini sababu ndani tumbo unabebesha mzigo mzito bila vilainishi km maji au kula matunda yenye nyuzi nyuzi au kula vyakula rafiki na tumbo lako mfano mafuta mafuta mabaya mabaya unakula kwa Mama lishe mafuta yameexpire hamwagi anaungia tu mboga lazima uugue bawasiri

Unakaa muda mrefu bila kula unashindia maji ukifika muda wa kula unashindilia mavyakula ya baridi yaan hapo ndio unachochea bawasiri zaidi

Asubuhi haupashi tumbo joto mchana haupashi tumbo joto usiku haupashi tumbo joto hapo mjomba unachochea bawasiri, yaani ili bawasiri ipotee asubuhi pasha tumbo joto mchana pasha tumbo joto jioni pasha tumbo joto, kunywa kitu cha moto uji, chai, kahawa, supu, nk tumbo lipe joto sana sana asubuhi na jioni
 
Hua inaondoka yenyewe badiri mfumo wa maisha yako ya vyakula hio nyama inashuka chini sababu ndani tumbo unabebesha mzigo mzito bila vilainishi km maji au kula matunda yenye nyuzi nyuzi au kula vyakula rafiki na tumbo lako mfano mafuta mafuta mabaya mabaya unakula kwa Mama lishe mafuta yameexpire hamwagi anaungia tu mboga lazima uugue bawasiri

Unakaa muda mrefu bila kula unashindia maji ukifika muda wa kula unashindilia mavyakula ya baridi yaan hapo ndio unachochea bawasiri zaidi

Asubuhi haupashi tumbo joto mchana haupashi tumbo joto usiku haupashi tumbo joto hapo mjomba unachochea bawasiri, yaani ili bawasiri ipotee asubuhi pasha tumbo joto mchana pasha tumbo joto jioni pasha tumbo joto, kunywa kitu cha moto uji, chai, kahawa, supu, nk tumbo lipe joto sana sana asubuhi na jioni
Asante mkuu kwa ushauri
 
Wadau naomba msaada kwa mara nyingine tena kwa habari ya bawasiri
Nimetumia dawa za kienyeji za kunywa na kupaka nimetumia za tiba mbadala lkn wapi ndipo nikaamua kwenda kwa mtaala mmoja nikaambiwa yeye huwa anakutibu mpk bawasiri ina isha kbs

Na jamaa zangu wengi wameenda kwa huyo mtu wametibiwa na wanepona kbs na ninafanyanao kz sehemu moja sio mmoja ni zaidi ya wanne na wamepona kbs.

Ndipo wakanishauri na mimi niende huko nikaandaa pesa zangu mpk huko nikaanza matibabu matbabu hayo yanajumuisha maumivu makali mno sio hospital kuna mtu tu ni mzoefu wa miaka mingi katika matibabu hayo ya bawasiri.

Wakati mimi naenda nilikuwa nimesoma sana kwenye mtandao kuhusu aina za bawasiri na hatua zake kwamba kwa ile ya nje haina gredi ila ya ndani yaan internal ina grade km nne hivi

Lkn ni wakati naenda nilikuwa na hofu nikiamini huyu atakuwa huwa anatibu bawasiri ya nje maana ya ndani ni ngumu sana.

Nililipa km 400k nikaanza matibabu nakuja kumaliza tiba nikaambiwa nimepona lkn bawasiri bado ipo nikaona sio shida

Ishu yangu kuu naomba msaada kujua ni hospital gani wanafanya upasuaji wa bawasiri ya ndani kwa uhakika na usahihi zaidi ili nikatibiwe huku imeshindikana kabisa natoka bado bawasiri inachungulia chini naomba msaada kwa anaejua

Km kuna mtu alishafanyiwa upasuaji wa bawasiri ya ndani humu naomba tu wasiliane pm

Nb na uhakika mkubwa huyu ndugu ni bingwa wa bawasiri ya nje hilo na uhakika kabisa bila shaka
20240127_114752.png
 
Wajinga ndio waliwao... nenda hospitali kubwa yoyote iliyokaribu nawe ...kakutane na daktari bingwa wa upasuaji (general surgeon) ni procedure ya kawaida kabisa kwake ..pia hata ukikutana na daktari MD mzoefu anakufanyia vizuri kabisa ...kila raheri mkuu
Inarudi tena
 
Wadau naomba msaada kwa mara nyingine tena kwa habari ya bawasiri
Nimetumia dawa za kienyeji za kunywa na kupaka nimetumia za tiba mbadala lkn wapi ndipo nikaamua kwenda kwa mtaala mmoja nikaambiwa yeye huwa anakutibu mpk bawasiri ina isha kbs

Na jamaa zangu wengi wameenda kwa huyo mtu wametibiwa na wanepona kbs na ninafanyanao kz sehemu moja sio mmoja ni zaidi ya wanne na wamepona kbs.

Ndipo wakanishauri na mimi niende huko nikaandaa pesa zangu mpk huko nikaanza matibabu matbabu hayo yanajumuisha maumivu makali mno sio hospital kuna mtu tu ni mzoefu wa miaka mingi katika matibabu hayo ya bawasiri.

Wakati mimi naenda nilikuwa nimesoma sana kwenye mtandao kuhusu aina za bawasiri na hatua zake kwamba kwa ile ya nje haina gredi ila ya ndani yaan internal ina grade km nne hivi

Lkn ni wakati naenda nilikuwa na hofu nikiamini huyu atakuwa huwa anatibu bawasiri ya nje maana ya ndani ni ngumu sana.

Nililipa km 400k nikaanza matibabu nakuja kumaliza tiba nikaambiwa nimepona lkn bawasiri bado ipo nikaona sio shida

Ishu yangu kuu naomba msaada kujua ni hospital gani wanafanya upasuaji wa bawasiri ya ndani kwa uhakika na usahihi zaidi ili nikatibiwe huku imeshindikana kabisa natoka bado bawasiri inachungulia chini naomba msaada kwa anaejua

Km kuna mtu alishafanyiwa upasuaji wa bawasiri ya ndani humu naomba tu wasiliane pm

Nb na uhakika mkubwa huyu ndugu ni bingwa wa bawasiri ya nje hilo na uhakika kabisa bila shaka
Tumeshaona tangazo lako, walipe JF kwa kuweka tangazo hili.

"Kazini watu si chini ya WANNE wamepasuliwa na kupona kabisa"

Hiyo kazi gani mnafanya mpaka kila mtu awe na bawasiri?
 
ilinitesa toka 2006 nikaja kupona kwa dawa ya kienyeji ya mama mmoja mutu ya musoma kwenye mwaka 2018. kuja kumfuatilia baadaye alishakufa. nililipa laki 1. mpaka leo niko gado.

ila huu gonjwa naona ni lifestyle zaidi ukiibadili wapona mazima.
 
Inarudi tena
Ndio inarudi tena ukikata inarudi tena ukikata inarudi tena hakuna cha dakitari hakuna cha nani hapo ni kubadiri mfumo wa maisha na mfumo wa chakula hakikisha tumbo linapata joto asubuhi mchana jioni weka kimiminika cha moto tumboni kuwezesha mmeng'enyo wa chakula na chakula kiweze kusukumwa kwa urahisi

Kingine tumia maziwa fresh fanya km unayagandisha alafu chemsha kunywa yakiwa ya moto unatoa nje takamwili zote utaharisha sana Ila inaweka tumbo sawa sikushauri unywe na Komamanga na Mlonge maana utaharisha zaidi Ila ukiweza kula tunda la Komamanga moja na majani ya Mlonge tafadhari sana usile vijiti chambua yale majani yake TU mitimiti na magome ya Mlonge pamoja na mbegu yasipoandaliwa kwa utaratibu maalum na kwa umakini na kula kuzidi kipimo ni Sumu itakusumbua ingawa utapona majani usile mengi hata ukisaga tumia machache tu usiweke mengi yatakusumbua yaliyokaushwa na kusagwa kipimo huwa ni kijiko kimoja kikubwa cha chakula unaweka kwenye uji kisha unakunywa inaenda kufanya kazi
 
Wadau naomba msaada kwa mara nyingine tena kwa habari ya bawasiri
Nimetumia dawa za kienyeji za kunywa na kupaka nimetumia za tiba mbadala lkn wapi ndipo nikaamua kwenda kwa mtaala mmoja nikaambiwa yeye huwa anakutibu mpk bawasiri ina isha kbs

Na jamaa zangu wengi wameenda kwa huyo mtu wametibiwa na wanepona kbs na ninafanyanao kz sehemu moja sio mmoja ni zaidi ya wanne na wamepona kbs.

Ndipo wakanishauri na mimi niende huko nikaandaa pesa zangu mpk huko nikaanza matibabu matbabu hayo yanajumuisha maumivu makali mno sio hospital kuna mtu tu ni mzoefu wa miaka mingi katika matibabu hayo ya bawasiri.

Wakati mimi naenda nilikuwa nimesoma sana kwenye mtandao kuhusu aina za bawasiri na hatua zake kwamba kwa ile ya nje haina gredi ila ya ndani yaan internal ina grade km nne hivi

Lkn ni wakati naenda nilikuwa na hofu nikiamini huyu atakuwa huwa anatibu bawasiri ya nje maana ya ndani ni ngumu sana.

Nililipa km 400k nikaanza matibabu nakuja kumaliza tiba nikaambiwa nimepona lkn bawasiri bado ipo nikaona sio shida

Ishu yangu kuu naomba msaada kujua ni hospital gani wanafanya upasuaji wa bawasiri ya ndani kwa uhakika na usahihi zaidi ili nikatibiwe huku imeshindikana kabisa natoka bado bawasiri inachungulia chini naomba msaada kwa anaejua

Km kuna mtu alishafanyiwa upasuaji wa bawasiri ya ndani humu naomba tu wasiliane pm

Nb na uhakika mkubwa huyu ndugu ni bingwa wa bawasiri ya nje hilo na uhakika kabisa bila shaka
Usifanye upaswaji. Kuna ile hosp zaman nyuma ya leaders club ilikua ya dokta Masau bingwa wa magonjwa ya moyo..pale nlikwenda nkaonana na physician mzungu. Akaniambia kuna mtu alimfanyia mara 7 ndio akapona mazima. Aliona aniweke waz risk za upasuaji.

Upasuaji sio. Sikushauri
 
Ndio inarudi tena ukikata inarudi tena ukikata inarudi tena hakuna cha dakitari hakuna cha nani hapo ni kubadiri mfumo wa maisha na mfumo wa chakula hakikisha tumbo linapata joto asubuhi mchana jioni weka kimiminika cha moto tumboni kuwezesha mmeng'enyo wa chakula na chakula kiweze kusukumwa kwa urahisi

Kingine tumia maziwa fresh fanya km unayagandisha alafu chemsha kunywa yakiwa ya moto unatoa nje takamwili zote utaharisha sana Ila inaweka tumbo sawa sikushauri unywe na Komamanga na Mlonge maana utaharisha zaidi Ila ukiweza kula tunda la Komamanga moja na majani ya Mlonge tafadhari sana usile vijiti chambua yale majani yake TU mitimiti na magome ya Mlonge pamoja na mbegu yasipoandaliwa kwa utaratibu maalum na kwa umakini na kula kuzidi kipimo ni Sumu itakusumbua ingawa utapona majani usile mengi hata ukisaga tumia machache tu usiweke mengi yatakusumbua yaliyokaushwa na kusagwa kipimo huwa ni kijiko kimoja kikubwa cha chakula unaweka kwenye uji kisha unakunywa inaenda kufanya kazi
Mfumo wetu wa maisha ni ngumu kuepuka magonjwa
 
Mfumo wetu wa maisha ni ngumu kuepuka magonjwa
Ndio hivyo kwanza picha linaanza maji yaan maji ndio kila kitu mwilini sasa ukikaa bila maji masaa 12 mwili unaanza kupata hitirafu kwenye mfumo wa chakula, sasa wengi wanaogua magonjwa ya mfumo wa chakula km bawasiri chanzo ni ukosefu wa maji mwilini pamoja na kutokuzingatia mlo kamili matunda matunda kwa wingi wanga kidogo mboga mboga kwa wingi snacks usiku na juice ya matunda, mfumo wetu wanga mwingi mboga mboga na matunda kidogo au matunda hakuna maji unakunywa dakika 1 baada ya kula wakati inatakiwa baada ya kula usubirie dakika 30 chakula kisagwe ndio uweke maji
 
Ndio hivyo kwanza picha linaanza maji yaan maji ndio kila kitu mwilini sasa ukikaa bila maji masaa 12 mwili unaanza kupata hitirafu kwenye mfumo wa chakula, sasa wengi wanaogua magonjwa ya mfumo wa chakula km bawasiri chanzo ni ukosefu wa maji mwilini pamoja na kutokuzingatia mlo kamili matunda matunda kwa wingi wanga kidogo mboga mboga kwa wingi snacks usiku na juice ya matunda, mfumo wetu wanga mwingi mboga mboga na matunda kidogo au matunda hakuna maji unakunywa dakika 1 baada ya kula wakati inatakiwa baada ya kula usubirie dakika 30 chakula kisagwe ndio uweke maji
Pia kukaa mda mrefu kitini mfano madereva,mafundi viatu,simu,ofisini,wabeba vyuma
 
Back
Top Bottom