- Thread starter
- #41
Mkuu haku
Tumeshaona tangazo lako, walipe JF kwa kuweka tangazo hili.
"Kazini watu si chini ya WANNE wamepasuliwa na kupona kabisa"
Hiyo kazi gani mnafanya mpaka kila mtu awe na bawasiri?
Mawazo yako mkuu nahisi ni finyu mimi naomba msaada wew unafikiri natangaza biashara Pole.Tumeshaona tangazo lako, walipe JF kwa kuweka tangazo hili.
"Kazini watu si chini ya WANNE wamepasuliwa na kupona kabisa"
Hiyo kazi gani mnafanya mpaka kila mtu awe na bawasiri?