Inategemea ila ni vizuri hasa Kama upo DSM na una vigezo ukaenda pale ofisini utapewa Mwongozo mzzuri.
Kwa mtoto kutoka Familia Masikini endapo umekosa mkopo Unabidi ujitahidi uwe DSM utasikilizwa na Kupata msaada .
Then mkifika chuo endeleeni kutengeneza mahusiano mazuri na Lectururer usione ugumu kumnunulia Mkufunzi soda hii itakusogeza Karibu na fursa za hapa na pale.
Then mwisho MAARIFA ni utajiri na huwezi kuwa na MAARIFA Kama hauyatafuti hivyo usitegemee kusoma tu mambo ya chuo pata wasaa wa kusoma vitabu mbalimbali vyenye personal growth au self-development.
Kuna Mdogo wa kike na. Kiume hasa nyie mnaotoka vijijini mnakuaga na Ego kuona kufika chuo kikuu ndo umemaliza na mwisho hiyo miaka 3 mnafanya Sana ngono kupita kiasi mnakosa mpaka nauli ya kurudi kijijini mnasikitisha Sana .
Maisha Ni constistence na sio short time archiving so ikiwa kitu unakitafuta ebu angalia Kama kitakupa mwendelezo wa kukufaidisha leo na Kesho na siku zijazo na sio kuwa mtu wa kuangalia vitu vya hapa tu. .
Kama kijana wa kiume Fahamu ngono kwa Sasa hasa DSM gharama yake ni sawa na bure hivyo usikubali kumpa demu wa chuo Pesa yoyote huku ngono Bei inaanzia 1500 na unaweza kukopa ukawa unalipa kila boom likitoka so fanya vitu kwa kiasi na kubwa kuzidi yote hakikia Kama utaweza kuwa mtu wa kiroho achana na anasa mtumikie Mungu maana huko ndo uzima ulipo.