Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale tuliowala kinadharia wakati tunanyetukaz na mlenda vuguvugu nao wanahesabika?Kwa upande wangu mpaka sasa nimeshawakula girls 12. Nategemea idadi hii kudumu kwa miaka miwili mbele kutokana na mapambano yangu dhidi ya hali mbovu ya kiuchumi.
Muhimu uweke mambo sawa maana bila hivyo wanaume wote hapa duniani watakuwa wameshawala wanawake zaidi ya 100000000Hao hapana mkuu usije ukahesabia mpaka kina Rihanna 😂
Huenda ndipo ulipopatia umaskini na hali ngumu kiuchumi.Iwapo unakataa ulete uthibitiasho.Kwa upande wangu mpaka sasa nimeshawakula girls 12. Nategemea idadi hii kudumu kwa miaka miwili mbele kutokana na mapambano yangu dhidi ya hali mbovu ya kiuchumi.
Vipi unaogopa nawe utatajwa kwenye orodha ama?acheni upumbavu mada gani hizi sasa!!!!!!
Kwa hiyo mzee ulishamlala vp wa world super power 🤣🤣🤣🤣Ni kweli mkuu wengine hapa mpaka kina Kamala Harris tumepita nao
Basi tulia jitafute na baada ya hapo tafuta wakuoa kabisa ila napo usirudie makosa.Huenda ikawa hivyo mkuu ila hapana uhakika