Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Wanawake wengi wametuzidi body count ila wakija watatupanga utasikia waliomlaza ni 3
Aliyembikiri
Aliyemtenda
Aliye naye sasa
Aliyembikiri
Aliyemtenda
Aliye naye sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wenzangu mnawezaje kutombering na condomMiaka 20 sasa
by the way ndom inasaidia sana ndio maana bado nipo na kazi inaendelea
Wao go hao...hawasemagi wale jamaa waokuwa friend zone then siku anapewa mbususu au walae jamaa wanaowatongozaga alafu siku ya siku nayo genye zimezidi anampa friendly match.Wanawake wengi wametuzidi body count ila wakija watatupanga utasikia waliomlaza ni 3
Aliyembikiri
Aliyemtenda
Aliye naye sasa
Kwema MkuuDR Mambo Jambo kwema?
Mimi nitakuwa nimevuka hii record yako maana enzi za ujana wangu ulikuwa wa maji ya moto kweli kweli. Kwa Sasa najisikia tu kutunza Afya na kujisogeza zaidi kwa Mola kiroho. Kila saa naushangaa tu ukuu wa Mungu kwamba sebene zote sijaukwaa na kanijalia majembe hatari. Mtoto akiwa na tabia kama za ujana wangu nitapiga hadi nizimishe kijanaWanafunzi 27
Mashangazi 19
Barmaids 31
Workmates 15
Malaya "one night stand" 82
Jumla 174
Wewe ni WA kike au wa kiume??Vijana wa hovyo
Na jambo mkuu niruhusu nije PMKwema Mkuu
Nimekuruhusu MkuuNa jambo mkuu niruhusu nije PM
Inaonekana ulikuwa Moto sana mkuuMimi nitakuwa nimevuka hii record yako maana enzi za ujana wangu ulikuwa wa maji ya moto kweli kweli. Kwa Sasa najisikia tu kutunza Afya na kujisogeza zaidi kwa Mola kiroho. Kila saa naushangaa tu ukuu wa Mungu kwamba sebene zote sijaukwaa na kanijalia majembe hatari. Mtoto akiwa na tabia kama za ujana wangu nitapiga hadi nizimishe kijana
Ilikuwa kabla sijashirikisha ubongo sawa sawa najikuta nilishamaliza.Inaonekana ulikuwa Moto sana mkuu
Nina shilingi 6200 za kiTanzania.Weka hapa idadi ya Pesa unayomiliki mpaka sasa.....
Ni kweli, vijana wanawekana sana mkuu. Kuna kamoja miaka hiyo kalinipa live nikikaacha kanapachika mwingine bila kusubiri, yaani hakuna kuvuta subra wala kupoteza mda.Vijana wanaweka sana kuna mmoja ametoa ushuhuda hapo juu anakaribia kujaza Yutong ya 3 🤣