TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Ujomile musani!.
Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.
Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.
Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.
Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.
Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
UPDATE:
Katika picha ni mitaa ya jiji la Dasramu mchana wa leo.
KAWE:
Jeshi la Polisi jioni hii wamevamia kikao cha ndani cha viongozi wa kata ya Bunju, Kawe na kuwakamata viongozi zaidi ya 23 waliokuwa kwenye kikao hicho.
Na upande wa pili patrol ya mtaa kwa mtaa inaendelea pichani.
Huku magari, farasi na mbwa.
JUMAPILI HII.
KUTOKA SPACE X:
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasiq na Maendeleo CDM, ndg Freeman Mbowe kasema;
"Natangaza kuwepo kwenye Maandamano yetu ya Amani na Maombolezo kesho Jijini Dar-es-Salaam, tarehe 23 Septemba 2024 na likitokea lolote miongoni mwetu, wengine tusirudi nyuma"
"Na mkisikia Mbowe nimekamatwa msirudi nyuma, mkisikia Mbowe nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi"
" Ninyi songeni mbele"
Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.
Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.
Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.
Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.
Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
UPDATE:
Katika picha ni mitaa ya jiji la Dasramu mchana wa leo.
KAWE:
Jeshi la Polisi jioni hii wamevamia kikao cha ndani cha viongozi wa kata ya Bunju, Kawe na kuwakamata viongozi zaidi ya 23 waliokuwa kwenye kikao hicho.
Na upande wa pili patrol ya mtaa kwa mtaa inaendelea pichani.
Huku magari, farasi na mbwa.
JUMAPILI HII.
KUTOKA SPACE X:
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasiq na Maendeleo CDM, ndg Freeman Mbowe kasema;
"Natangaza kuwepo kwenye Maandamano yetu ya Amani na Maombolezo kesho Jijini Dar-es-Salaam, tarehe 23 Septemba 2024 na likitokea lolote miongoni mwetu, wengine tusirudi nyuma"
"Na mkisikia Mbowe nimekamatwa msirudi nyuma, mkisikia Mbowe nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi"
" Ninyi songeni mbele"