SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Chuki haina mchango katika jamii. Wewe mwenye hizo Divisheni 1000 mbona usiende ukawa Polisi?Divishen ziro zimepakiwa kwenye magari
Wacha ugaidi wa mtandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki haina mchango katika jamii. Wewe mwenye hizo Divisheni 1000 mbona usiende ukawa Polisi?Divishen ziro zimepakiwa kwenye magari
Hii ni nzuri.Kama ni hivo tuwapige counter attack tuandamane sehemu ambazo wanatoka.
Kawakumbatie Kama unawapenda sanaChuki haina mchango katika jamii. Wewe mwenye hizo Divisheni 1000 mbona usiende ukawa Polisi?
Wacha ugaidi wa mtandaoni.
Kwa maana kwamba wao ni wahalifu, hawataki wajulikane katika uhalifu wao. Hii ni serikali ya kihalifu.Wana mikogo balaa,tinted machoni na wengine wamevaa musk nyeusi wanaonekana macho tu.
Umenichekesha sanaKama ni hivo tuwapige counter attack tuandamane sehemu ambazo wanatoka.
Nipate division 1 halafu nikawe Polisi?Chuki haina mchango katika jamii. Wewe mwenye hizo Divisheni 1000 mbona usiende ukawa Polisi?
Wacha ugaidi wa mtandaoni.
Nina wajomba walifeli F6 waliombwa wabaki msituni walivyokuwa kwa mujibu bila Shaka watakuwepo Kati ya hao kwenye migariNipate division 1 halafu nikawe Polisi?
Tulia wewe....Njoo huku ukumbatiweKawakumbatie Kama unawapenda sana
Ndio nimesema, mnaongea kwa chuki tu na maneno ya kukariri.Nipate division 1 halafu nikawe Polisi?
na watawanyorosha vizuri sana na digrii zenu gentleman 🐒Divishen ziro zimepakiwa kwenye magari ili zikapige raia
Safi sana nenda kachukue posho yako Kwa mama.Tulia wewe....Njoo huku ukumbatiwe![]()
Tuliza 0713.... Weweeeemnaandamana wenyewe na halafu mnaweweseka wenyewe 🤣
hii dunia ni hadaa sana dah 🤣
Watapata Ajali na watakufa Tu mark my word.....ni Wapumbavu mnooooo wanaoaminishwa kupigana na Ndugu wanaopigania maslahi Yao kwa faida Yao. Kuwa POLISI haimaanishi kuwa mjinga na mpumbavu
Hata ukitukana, maandamano hayapo 😂😂😂Watapata Ajali na watakufa Tu mark my word.....ni Wapumbavu mnooooo wanaoaminishwa kupigana na Ndugu wanaopigania maslahi Yao kwa faida Yao. Kuwa POLISI haimaanishi kuwa mjinga na mpumbavu
Hii imekaa vizuriKama ni hivo tuwapige counter attack tuandamane sehemu ambazo wanatoka.
Losers jobChuki haina mchango katika jamii. Wewe mwenye hizo Divisheni 1000 mbona usiende ukawa Polisi?
Wacha ugaidi wa mtandaoni.
=abiria.Ujomile musani!.
Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.
Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.
Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.
Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.
Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.