Update Maandamano Sept 23: Tayari Moshi Huu Unafuka

Update Maandamano Sept 23: Tayari Moshi Huu Unafuka

Kawakumbatie Kama unawapenda sana
Tulia wewe....Njoo huku ukumbatiwe
polisi-3-jpg.190564
 
Watapata Ajali na watakufa Tu mark my word.....ni Wapumbavu mnooooo wanaoaminishwa kupigana na Ndugu wanaopigania maslahi Yao kwa faida Yao. Kuwa POLISI haimaanishi kuwa mjinga na mpumbavu


Kumbuka sio polisi wote mana wengi wanatoka kwenye familia za kawaida na waleoa na kuolewa na ndugu zetu.

Tatizo ni mfumo unaompa mwenyekiti wa CCM mamlaka ya kuteua Makamanda wa polisi . Hapo ni lazima ateye Makada wa CCM na chinja chinja .
Sifa ya kwanza itakua ni yule anayechukia kwa wazi kabisa vyama vya upinzani
 
Ujomile musani!.

Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.

Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.

Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.

Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.

Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
=abiria.
=Dar au Dar Es Salaam.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Waturuhusu tuandamane kuelekea pale nyumba nyeupe tukamfurushe chura maana ndiyo mtoa maamuzi ya kupoteza watu
 
Back
Top Bottom