ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
🤐🤐🤐🤐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LINDI? Sehemu Gani?Hicho kitu hakipo,Niko Lindi huku watu wanapiga kazi hawana habari na maandamano
Sawaaaaa, endelea KuotaChadema haiko Mikoa yote 🐼
LiwaleLINDI? Sehemu Gani?
Nazungumzia maandamano sizungumzii CHADEMAChadema haiko Mikoa yote 🐼
Sio tuu Dar ,Polisi na vyombo vingine vya Dola viko kwenye alert japo ya level ya kawaida.Ujomile musani!.
View attachment 3103476
Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.
Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.
Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.
Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.
Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
UPDATE:
Katika picha ni mitaa ya jiji la Dasramu mchana wa leo.
View attachment 3101978
KAWE:
Jeshi la Polisi jioni hii wamevamia kikao cha ndani cha viongozi wa kata ya Bunju, Kawe na kuwakamata viongozi zaidi ya 23 waliokuwa kwenye kikao hicho.
Na upande wa pili patrol ya mtaa kwa mtaa inaendelea pichani.
View attachment 3102372
Huku magari, farasi na mbwa.
View attachment 3102405
View attachment 3102406
JUMAPILI HII.
KUTOKA SPACE X:
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasiq na Maendeleo CDM, ndg Freeman Mbowe kasema;
"Natangaza kuwepo kwenye Maandamano yetu ya Amani na Maombolezo kesho Jijini Dar-es-Salaam, tarehe 23 Septemba 2024 na likitokea lolote miongoni mwetu, wengine tusirudi nyuma"
"Na mkisikia Mbowe nimekamatwa msirudi nyuma, mkisikia Mbowe nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi"
" Ninyi songeni mbele"
Hujaona hata chelewa chepe na reck?Ujomile musani!.
View attachment 3103476
Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.
Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.
Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.
Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.
Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
UPDATE:
Katika picha ni mitaa ya jiji la Dasramu mchana wa leo.
View attachment 3101978
KAWE:
Jeshi la Polisi jioni hii wamevamia kikao cha ndani cha viongozi wa kata ya Bunju, Kawe na kuwakamata viongozi zaidi ya 23 waliokuwa kwenye kikao hicho.
Na upande wa pili patrol ya mtaa kwa mtaa inaendelea pichani.
View attachment 3102372
Huku magari, farasi na mbwa.
View attachment 3102405
View attachment 3102406
JUMAPILI HII.
KUTOKA SPACE X:
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasiq na Maendeleo CDM, ndg Freeman Mbowe kasema;
"Natangaza kuwepo kwenye Maandamano yetu ya Amani na Maombolezo kesho Jijini Dar-es-Salaam, tarehe 23 Septemba 2024 na likitokea lolote miongoni mwetu, wengine tusirudi nyuma"
"Na mkisikia Mbowe nimekamatwa msirudi nyuma, mkisikia Mbowe nimepigwa risasi iombeeni roho yangu ipumzike mahali pema peponi"
" Ninyi songeni mbele"
Sababu za kuzuia ni nini? Hawana, Polisi ni Kada ya kipumbavu mno ikifuatiwa na Walimu (baadhi)UPDATE 23.9.24
Kwenye maeneo yalipopangwa kuanzia maandamano polisi wamejizatiti hasa kuzuia waandamanaji.
View attachment 3103946
Pole sn na roho yako ya kichawina watawanyorosha vizuri sana na digrii zenu gentleman 🐒
acha ushirikina na Ramli gentleman 🤣Pole sn na roho yako ya kichawi
Sishangai wewe kuwa mchawi Mana ndio utajiri wa ccmacha ushirikina na Ramli gentleman 🤣
Yaan mlevi moja tu, kanywa mapombe yake huko,Sishangai wewe kuwa mchawi Mana ndio utajiri wa ccm
Washirikina siku zote wanachotaka ni kumtawala mtu wakimshindwa humuua na you Hy yp ndani ccmYaan mlevi moja tu, kanywa mapombe yake huko,
eti ng'weee ng'weee eti Samia Must go,
na wewe bila hata kutafakari unakurupuka kama linyumbu, kijana mzuri tu, msomi, mwenye akili timamu na nguvu kabisaa, eti ukaandanane khaaaa!!
kweli huo sio ushirikina ndrugu zango?🐒
infact,Washirikina siku zote wanachotaka ni kumtawala mtu wakimshindwa humuua na you Hy yp ndani ccm
Mkaenda kuyatutusa Yale Madivishen zero ili mkamilishe uchawi wenuinfact,
wapiga ramli huongozwa na mihemko ya walevi tu kama ilivyokua kwenye maandamano haramu ya chadema yalifeli vibaya 🐒