Update Maandamano Sept 23: Tayari Moshi Huu Unafuka

Update Maandamano Sept 23: Tayari Moshi Huu Unafuka

Ujomile musani!.

Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.

Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.

Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.

Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.

Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
Hawa wa kutoka Moshi walikuwa kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi lao.
 
Ujomile musani!.

Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.

Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.

Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.

Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.

Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
Polisi mmoja mzalendo arushe bomu la machozi karibu na atakapokuwa Lissu, tuone Lissu atakimbiaje, yaani asipigwe rungu wala nini, ajaziwe moshi aa mabomu ya machozi tu ili siku nyingine akiandamana ajue maandamano yanaweza geuka riadha na yeye hana mbio
 
Umenichekesha sana
Ni target pia! Mfano kule Nairobi Kenya wkt Gen Z wakikinukisha,waliwafanyia timing polisi kwamba wanaenda uwanja wa ndege JKIA,polisi kama immigration ya nyumbu from Serengeti to Masai Mara wakakimbiklia airport wakakuta empty. Kurudi town wakakuta street zote zimefurika waandamanaji.
 
Ujomile musani!.

Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.

Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.

Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.

Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.

Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
Duh
 
Kama ni hivo tuwapige counter attack tuandamane sehemu ambazo wanatoka.
Unaota unafikiri polisi hawajui hilo kuwa mwaweza sema mtaandamana dar kumbe mtaandamana kwingine.JWTZ wapo kila mkoa utakuwa umeruka mkojo na kukanyaga mavi tu hata polisi wote nchi nzima wahamie dar ukiandamana kwiigine utapondwa na JWTZ

Kwenye issue ya ulinzi wa kitaifa majeshi yote yabakuwavkitu kimoja usifikiri ukitangaza maandamano Dar askari wanajipanga dar tu
Tanzania sio kama Kenya
 
Hiyo tarehe 23 polisi wote watakuwa Dar mara paap maandamano Dar yanahairishwa haafu siku hiyohiyo yanafanyika kanda ya ziwa, hii inaitwa changanya bwege.
Utoto huo JWTZ kanda ya ziwa vikosi vyao vipo vinawasubiri kwa hamu toka vita ya kagera hawajawahi pigana au piga mtu
Mtapata kipigo toka JWTZ hata polisi wote waende Dar hapo ndipo utajua bwege wewe au jeshi
 
Ni target pia! Mfano kule Nairobi Kenya wkt Gen Z wakikinukisha,waliwafanyia timing polisi kwamba wanaenda uwanja wa ndege JKIA,polisi kama immigration ya nyumbu from Serengeti to Masai Mara wakakimbiklia airport wakakuta empty. Kurudi town wakakuta street zote zimefurika waandamanaji.
Polisi wa Kenya kiujumla hawakutaka kumpa ushirikiano Raisi Ruto baada ya kifo cha mkuu wa Jeshi la polisi la Kenya kwa helicopter ninkama tu waliachia waandamanaji wafanye wabachotaka
Ndio maana hata matumizi ya nguvu yalikuwa madogo mno

They didn't mean bussiness

Tanzania sio Kenya huwa wanasubiri fursa kama hiyo waonyeshe uwezo wao maana wengi vyeo hupanda kwa kuonyesha uwezo kwenye uwanja wa vita iwe maandamano au vita
Nendeni kuandamana mkaone cha mtema kuni Polisi wa Tanzania na Kenya ni tofauti kama mbingu na dunia linapokuja swala la maandamano
 
Polisiccm naona wachezewe mchezo, wajiandae hivyo, watoke kila mkoa. Wakifika hola. Baada ya muda tena yatangazwe maandamano mengine. Wawe wanawekwa busy hivyo, maana ndiyo kitu wanakipenda.

* Watu kuandamana ni haki yao, wao wangelinda amani, kusiwepo na uvunjifu wa hiyo amani wanayoihubiri. Hakuna chochote kingetokea. Hizo posho wanazopewa, zingetosha kujenga madarasa au mabweni. Hawana fedha za kufanya maendeleo, ila wana fedha za kuzuia maandamano 🤔
 
Ujomile musani!.

Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23.

Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona bus za polisi zikiwa uelekeo wa Dar.

Na kuna mdau kaposti bus za polisi zikitoka Morogoro.

Hebu tupeane taarifa kwa kinachoendelea hapo ulipo, ili na sisi abilia tunaosafiri kuja Dasramu week hii tukae vipi.

Ukipata kapicha kapachike hapa mdau!.
Hujasikia na jana kikao cha mabosi wa polisi kimefanyika ikulu

Hakuna kiongozi Duniani asieogopa wananchi kuandamama
 
Polisiccm naona wachezewe mchezo, wajiandae hivyo, watoke kila mkoa. Wakifika hola. Baada ya muda tena yatangazwe maandamano mengine. Wawe wanawekwa busy hivyo, maana ndiyo kitu wanakipenda.
Hao askari kwenye mabasi unaambiwa walikuwa Moshi kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya polisi wanarudi mikoani kwao

Pili ulichoandika akili huna hujui siasa zinavyofanyika Chama chochote cha siasa hutafuta kura kwa wapiga kura

Polisi na familia zao ni sehemu ya wapiga kura unatakiwa hilo kundi kuwa nalo pia
Ukiwatibua na kuwasumbua ina maana kura zao na familia zao hutapata

Chadema hakuna wanasiasa wajua kupanga mikakati ya kupata kura nyingi toka makundi yote wakiwemo polisi na familia zao
 
Hayo majamaa ndiyo maana ni maskini sn aisee kwaiyo wameamua wao kuandamana dar so chadema wao wataandamana mikoani ni mgawanyko mzuri hapo hakuna wa kumsumbua wala kumuingili mwenzake
 
Back
Top Bottom