UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

Mpige mbuzi kabisa...... Mitano tena ......
 
itakuwa wewe ni mgeni humu jukwaani maana jukwaa zima linafahamu kuwa ephen ndio kiota cha Moyo wangu. Na wageni waalikwa wote watavaa nguo za kijani tuuu na kadi zote zitakuwa ni za kijani na wapishi watatinga na kujimwaga na Madera ya kijani.
Sio mbaya, kikubwa mbili tatu ziwepo kwenye shuhuli
 
Kabisa DPWORLD ametukuka na mkataba wake ni miaka 10 tu
 
Hivi chura wa kizimkazi hajaenda kuhiji na yule mlinzi wake mwenye ndevu aliyevaa ushungi??

Maana yeye kila siku angani hadi kapata jina la malkia wa anga.
 
Mimi ni mkulima na naendelea kupiga jalamba shambani.Mheshimiwa David Kafulila anaweza itendea haki sana nafasi hiyo.
Kwani anayekaimu kwa sasa humkubali? Mbona yupo vizuri sana? Ninamfahamu yupo vizuri upstairs kuliko hata huyo unayempigia chapuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…