Ingekuwa kufa ni ishara ya ushujaa ya kumfanya mtu aende peponi kama unavyosema, basi kusingekuwa na Emergency first aid Centers ambazo zimejengwa kuzunguka maeneo yote inapofanyika hija.Katika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Umedanganywa ukadanganyika.And so wana uhakika wa mabikra 72 kudadadek😋
Ni mama mtu mzima hawezi kuolewa tenaLucas mdogomdogo unaanza kujitoa kuripoti habari za Ccm tupu
Ukiacha kabisa tunafunga ndoa wanajf waje kula ubwabwa..!🤸
Unafikiri utaiona pepo bila kuuingia umauti?Ingekuwa kufa ni ishara ya ushujaa ya kumfanya mtu aende peponi kama unavyosema, basi kusingekuwa na Emergency first aid Centers ambazo zimejengwa kuzunguka maeneo yote inapofanyika hija.
Vituo vya afya ambavyo vipo katika hayo maeneo vilivyowekwa maalumu kwa ajili ya kupigania afya za watu ili wasife vinapingana na kauli yako kuwa kufa eneo hilo ni ticket ya kwenda peponi.
Pengine walioweka hizo hospitali maeneo hayo wanajua ukweli ambao wewe wamekuficha.
Mbona Jiwe alitaka kutoa uhai wa Mh Lissu? Nyie maCCM mupo double standard.Waislam tunaamini mwenye kutwaa na kutowa uhai ni Muumba peke yake.
Sasa wewe wanakuhusu nini umeshupalia? Hata unachosoma hukielewi? Unaambiwa waeathoiriwa na "heat wave", unaelewa maana ya "heat wave"?Yani nionee wivu watu waliokufa kisa dini??? Nitakuwa sipo serious aisee 😂😂😂
Unawaonea wivu?Labda pepo ya mabwege, wauza unga kibao tu wanajenga misikiti na kwenda Hija.
Hija ni njia ya Saudi Arabia kuingiza pesa kwa utalii wa kidini.
Walikuwa Hajj?Mbona Jiwe alitaka kutoa uhai wa Mh Lissu? Nyie maCCM mupo double standard.
Wote ni ndugu zenu maCCMWalikuwa Hajj?
CCM inahusiana nini na Hajj?Wote ni ndugu zenu maCCM
Kwanza wewe ni CCM huoni correlation kama sio mpumbavu?? By the way wewe utaenda kugegedwa na bikra wakiume ukienda peponi?CCM inahusiana nini na Hajj?
Sifa ya ujinga inakuhusu 99%.
Ulikuwapo huko ama ni msemaji wa watz huko,au wawasaudiNdugu zangu Watanzania,
Zaidi ya mahujaji Elfu moja wamepoteza maisha katika mji wa Makka walikokuwa wamekwenda kuhiji kama sehemu ya kutimiza nguzo kuu tano kwa muislamu yeyote yule mwenye uwezo walau mara moja tu katika uhai wake kuweza kufika katika mji huo mtakatifu kwa waislamu .
Vifo hivyo inasemekana vimetokana na kuchochewa na joto kali sana lililokuwa limetokea katika Wiki hii na kufikia nyuzi joto 51 ,kwa wale tuliosoma Geography tunaelewa maana ya joto hili kuwa ni la juu sana na hatari kwa maisha mwanadamu.
Nchi mbalimbali zimeripoti vifo vya watu wake,huku Misri ikiongoza kupoteza watu wake ,ambapo mpaka sasa imepoteza watu 658. Tanzania haijapoteza wala kutokea kifo cha mtanzania yeyote yule wala majeruhi .
Tuendelee kuwaombea wenzetu hao warejee salama kabisa hapa Nchini na kuungana na familia zao.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.kwa undani zaidi unaweza jipatia nakala yake au kusoma kupitia mtandaoni na kulipia kulingana na uwezo wako wa kifedha. Lakini pia natamani wenye uwezo wa kifedha mliopo humu jukwaani pia mngekuwa mnachangia Jamii forum pesa kidogo ili kuwatia moyo .ikumbukwe hili ni jukwaa linalotukutanisha maelfu ya watanzania na kujadili masuala mbalimbali kwa uhuru sana.
Kazi iendelee.Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka
Yaani wewe dogo hunaga akili kabisaNi mama mtu mzima hawezi kuolewa tena
P hana njaa sikuhizi,mtafute njanjaa nwenzie Luca atakusaidia majibu🤭Tatizo Kila nikiangalia teuzi Lucas Mwashambwa hayumo sijui kwa nn au ni chawa uchwara????? Pascal Mayalla. Majibu ya jumuiya ya machawa tafadhali.
Waaaapi wakati wenyewe mashetani piaaWatanzania hawafikagi kwenye kumtupia mawe Shetani
Acha chuki zako binafsi, sijakusemesha nimepongeza mahujaji wetu hawajafa sababu ya juhudi za maza, nako ni kosa?Yaani wewe dogo hunaga akili kabisa
Ndiyo maanakeHivi hii huwa ni kafara ama nini maana lazima wafe kila mwaka
Luca kuna zawadi huku,ila kwa sharti la kuacha kuwa chawa je,utawezaaa🤭Lucas mdogomdogo unaanza kujitoa kuripoti habari za Ccm tupu
Ukiacha kabisa tunafunga ndoa wanajf waje kula ubwabwa..!🤸