UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

Katika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.

Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Ingekuwa kufa ni ishara ya ushujaa ya kumfanya mtu aende peponi kama unavyosema, basi kusingekuwa na Emergency first aid Centers ambazo zimejengwa kuzunguka maeneo yote inapofanyika hija.

Vituo vya afya ambavyo vipo katika hayo maeneo vilivyowekwa maalumu kwa ajili ya kupigania afya za watu ili wasife vinapingana na kauli yako kuwa kufa eneo hilo ni ticket ya kwenda peponi.

Pengine walioweka hizo hospitali maeneo hayo wanajua ukweli ambao wewe wamekuficha.
 
Unafikiri utaiona pepo bila kuuingia umauti?

Ingekuwa rahisi kama unavyofikiria, watu wasingekufa kwa wingi mahospitalini, wacha vituo vya huduma ya kwanza.
 
Yani nionee wivu watu waliokufa kisa dini??? Nitakuwa sipo serious aisee 😂😂😂
Sasa wewe wanakuhusu nini umeshupalia? Hata unachosoma hukielewi? Unaambiwa waeathoiriwa na "heat wave", unaelewa maana ya "heat wave"?

Sisi tunasema kwa kuwa wamefariki katika njia ya Allah basi wana ujira mkubwa peponi.

Hupendi hilo kwa kuwa wewe haujajisalimisha kwa Muumba wako?

Sikuelewi "argument" yako ni nini? Au ni uoga tu wa Uislam?
 
Labda pepo ya mabwege, wauza unga kibao tu wanajenga misikiti na kwenda Hija.

Hija ni njia ya Saudi Arabia kuingiza pesa kwa utalii wa kidini.
Unawaonea wivu?

Sijuwi kinachokukera nini watu kufariki wakiwa wanatekeleza ibada yao?
 
Ulikuwapo huko ama ni msemaji wa watz huko,au wawasaudi
 
Tatizo Kila nikiangalia teuzi Lucas Mwashambwa hayumo sijui kwa nn au ni chawa uchwara????? Pascal Mayalla. Majibu ya jumuiya ya machawa tafadhali.
P hana njaa sikuhizi,mtafute njanjaa nwenzie Luca atakusaidia majibu🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…