Je hizi ndege zina mifumo ya teknolojia maalum ambayo mtu au kikundi maalum wasio Marubani wanaweza kuamua kuielekeza eneo watakalo wao?
Mzigoo washaupata mkuu wanajipanga kutangaza na kunawatu nawaona studio ulimwengu wa roho wakiimba nyimbo....tutaonanaaaaa hallelujah tutaonananaa tukifikaa......
 
Mheshimiwa Chakwera, Rais wa Malawi ameahirisha ziara ya kwenda Bahamas ili ashiriki katika Operesheni ya uokozi wa Makamu wake huko porini Lilongwe
 
Miezi mitatu mingi siku 50
 
Hana maadui ila watu hawamkubali
 
Mungu ajaalie wapatikane salama, ni kwa mapenzi mema ya Mungu taarifa itakayo kuja itapokelewa.
 

Kodi mwamva za Chilima kuti ndege yomwe anakwela yasowa tamvani nkhani yonse inu.​

Yomwe chilima anakwela CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…