Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kwa kuimba nyimbo za misiba huwa hajambo kabisa😂Dah Peter Msechu angekuwa Malawi ameshaingia studio muda huu.
Delegatus non protest deligare ndio tatizo?Kuwa tupendelee sana kupanda Dala Dala au Treni pale tunapotaka Kusafiri kwa Mizunguko yetu mbalimbali duniani au?
Kwenye second stanza umefanya kosa kubwa sana.Wiki iliyopita niliota naona ndege ilipotea njia yake ikashindwa kutua na kusababisha maafa . Ilikuwa inatokea ulaya na nilivyokuwa naitafakari ndoto hiyo asubuhi yake nikagundua Bi tozo alikuwa bado hajarudi kutoka korea. Nikataka nipost humu kukumbusha marubani watakao endesha ndege atakayopanda rais siku ya kurudi Tanzania wahakikishe wameamka vizuri na wana utimamu wa akili lakini nikasita nikajua ni ndoto tu inaweza isiwe na maana .
Niliikemea ndoto hiyo isiwe kweli . Isije kutokea vifo vya marais wawili mfululizo wakiwa madarakani kwa Tanzania. Bi tozo simpendi lakini ni bora aondolewe madarakani kwa kura 2025 , siyo kifo . Na siku iliyofuatia baada ya kuota ndoto hiyo , nikasikia Bi tozo amerudi na amefika salama .
Leo nasikia ndege iliyo mbeba makamu wa rais wa malawi imepotea .
Ukungu, au kule kuna shida tofautiMpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
---
Taarifa kutoka Ofisi ya Rais ya Malawi imesema kuwa ndege iliyokuwa imembeba Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Saulos Chilima na watu wengine tisa imetoweka baada ya kuondoka katika mji mkuu Lilongwe, Juni 10, 2024.
Rais Lazarus Chakwera amearifiwa kuhusu tukio hilo na kuamua kufuta ziara yake nchini Bahamas na kuamuru vyombo vyote nchini humo kushiriki katika kuitafuta ndege na kufanya uokoaji.
Tayari juhudi za kuitafuta ndege zimeanza lakini bado haijapatikana tangu kukatika kwa mawasiliano saa nne asubuhi za Malawi.
An aircraft carrying Malawi's Vice-President Saulos Chilima and nine others has gone missing, a statement from the president's office has said.
The Malawi Defense Force aircraft "went off the radar" after it left the capital, Lilongwe, on Monday morning, it added.
The president ordered a search and rescue operation after aviation officials were unable to contact the aircraft.
It was supposed to land at Mzuzu International Airport, in the country’s north, just after 10:00 local time (11:00 BST)
After being informed of the incident, Malawi's President Lazarus Chakwera cancelled his scheduled flight to the Bahamas.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.
Aisee we ni falasi kweli kweli😂🤣Kuna Mtu mmoja yeye hatulii ktk eneo lake..
Leo yupo huku, kesho yupo kule.. yaan hatulii eneo moja hata kwa wiki tu.
Anahangaika na MAWINGU huku na huko..
Ajifunze ktk haya matukio.. atulie kwa sasa...
Ni hayo tu
"Tangia saa nne asubuhi" haikwambii ni muda gani umepita toka ipotee, kwa sababu taarifa ya Ikulu haijulikani imeandikwa saa ngapi. Waafrika wote tunafanana, shule tumekaririshana ma information lakini uwezo wa kufikiri ni sifuri.Tangia saa 4 asubuh duh! haijulikani ilipo
Labda anazo nyimbo tayari tayari ni kweka majina tu wakati ukifika.tlyaah bwana mkubwa yuko vzr na sanaa yake amejipanga
Dah! Hawa Israeli kweli wamelaaniwa.Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi.
---
Taarifa kutoka Ofisi ya Rais ya Malawi imesema kuwa ndege iliyokuwa imembeba Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Saulos Chilima na watu wengine tisa imetoweka baada ya kuondoka katika mji mkuu Lilongwe, Juni 10, 2024.
Rais Lazarus Chakwera amearifiwa kuhusu tukio hilo na kuamua kufuta ziara yake nchini Bahamas na kuamuru vyombo vyote nchini humo kushiriki katika kuitafuta ndege na kufanya uokoaji.
Tayari juhudi za kuitafuta ndege zimeanza lakini bado haijapatikana tangu kukatika kwa mawasiliano saa nne asubuhi za Malawi.
An aircraft carrying Malawi's Vice-President Saulos Chilima and nine others has gone missing, a statement from the president's office has said.
The Malawi Defense Force aircraft "went off the radar" after it left the capital, Lilongwe, on Monday morning, it added.
The president ordered a search and rescue operation after aviation officials were unable to contact the aircraft.
It was supposed to land at Mzuzu International Airport, in the country’s north, just after 10:00 local time (11:00 BST)
After being informed of the incident, Malawi's President Lazarus Chakwera cancelled his scheduled flight to the Bahamas.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia hivi punde.