baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Sikwami popote bali kumsingizia mtu kifo hali ya kuwa haja fanya yeye ni accusation kubwa. Israel wenyewe wamekiri kuua hao waliokua wanakimbia concert ila sisi Huku tupo Busy kusingizia Hamas.Sitakataa wala kukubaliana na hii accusation. Mungu na Hamas wapi na wapi bro unakwama wapi?