Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msipende kulea maovu mtu mzima unadhamiria nini kumchoma moto mtoto wa miaka 3?Naungana na mkuu hapo ju hakuugua kias cha kukatwa mkono,nadhan dawa na tecnolojia.Upande wa pili,naisi hata huyo mama ake Hakutegemea iwe kiac hcho,na nadhani saizi ANAJUTA
hili la mama mdogo haliniingia hata kidogo!
Hivi mpaka sasa huyo mama yupo uraiani jamani?
Ni mkoa gani yupo tafadhali Nivea unawezanijulisha haraka? Nani mlezi wake ambaye naweza wasiliana naye?...Kwa sasa niko Tanzania, nilipanga kuondoka leo ila nili-extend ticket kwa ajili ya mambo ya kifamilia kwani nilijua siwezi kurudi mara kwa mara.
Thanda huyu mtoto anaishi mbeya ,ni yatima fulani,amelkazwa hospitali ya mbeya,mlezi wake ndio huyo aliyemchoma yuko jela so sijui akitoka ataenda wapi tena sooo sad kwa kweli,ngoja niwasiliane na jamaa moja aliyekwenda hospitali kumwona labda ana weza tupa utaratibu jinsi yakumsaidia,mimi ninaishi DSM
Thanda huyu mtoto anaishi mbeya ,ni yatima fulani,amelkazwa hospitali ya mbeya,mlezi wake ndio huyo aliyemchoma yuko jela so sijui akitoka ataenda wapi tena sooo sad kwa kweli,ngoja niwasiliane na jamaa moja aliyekwenda hospitali kumwona labda ana weza tupa utaratibu jinsi yakumsaidia,mimi ninaishi DSM
Thanda baada yakuwasiliana na yule ndugu wa kwenye mbeyayetu blog kuwa atupe utaratibu tunataka kujitolea kidogo kumsaidia mtoto Anet alinijibu hivi:Nivea ni-PM nikupatie contact zangu, then tuendelee kuwasiliana..Ningependa zoezi hili likafanyika kabla Mimi na Familia kuondoka....Asante sana NIVEA
Thanda baada yakuwasiliana na yule ndugu wa kwenye mbeyayetu blog kuwa atupe utaratibu tunataka kujitolea kidogo kumsaidia mtoto Anet alinijibu hivi:
'''asante nitawajulisha kesho maana mpaka sasa huyu mtoto yupo chini ya uangalizi wa hospitali ya mbeya .mama yake mzazi tumeambiwa ataingia kesho kutoka kagera sasa yupu DSM wengi wamependa kumchangia lakini hakuna wakumkabidhi mchango huokesho nitawajulisha mara tu mama yake mzazi akifika'''
namba yake ni hii hapa +255 754 374408