Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Watu wa Kanda ya Ziwa mnazingua sana na hizi imani zenu za kishirikina, za kuua watu wenye ulemavu wa ngozi.
Sasa mtoto mdogo kama huyo mnamtoa uhai wake kwa sababu tu ya imani ya kipuuzi!!
Halafu ni kwa nini uchaguzi unapokaribia, ndiyo haya mauaji yanaibuka kwa kasi? Acheni ushetani wenu nyinyi. ☹️
Sasa mtoto mdogo kama huyo mnamtoa uhai wake kwa sababu tu ya imani ya kipuuzi!!
Halafu ni kwa nini uchaguzi unapokaribia, ndiyo haya mauaji yanaibuka kwa kasi? Acheni ushetani wenu nyinyi. ☹️