Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Masikini, apumzike kwa amani toto, pole kwa familia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kona upo tajiri😀So sad
Apumzike kwa amani malaika asimwe.
Why multiple threads?Mtoto Asimwe Novath mwenye ualbino Mkazi wa Kitongoji Mbale Kijiji cha Bulamula kata ya Kamachumu wilaya ya Muleba mkoani Kagera amekutwa amefariki na mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo.
Akizungumza na wananchi waliojitokeza Katika eneo la tukio Katibu Tawala wilaya ya Muleba Benjamin Mwikasyege amesema kuwa mwili huo umekutwa umetelekezwa kwenye karavati yenye maji ya barabara ya Makongora, Kijiji cha Malele na watu wasiojulikana.
Aidha ameongeza kuwa mwili wa marehemu umechukuliwa ili kuhifadhiwa zikiwa zinasubiriwa taratibu za mazishi na kuwaomba wananchi kutoa ushirikiano ili kubaini walio tekeleza tukio hilo.
Nao baadhi ya wananchi walioshuhudia tukio hilo wamelaani kitendo hicho na kuiomba serikali kuwachukulia hatua kali sana wale wote waliohusika endapo watabainika
Asimwe Novath aliibwa nyumbani kwao Mei 30 mwaka huu baada ya mama yake kukabwa na watu wasio julikana usiku wa saa 2:30 na mwili wake kupatikana leo Juni 17 katika Kijiji cha Malele kata Ruhanga wilaya ya Muleba mkoani Kagera.
Pia Soma:
- Kagera: Kisa cha Mtoto mwenye Ualibino kudaiwa kuibiwa, RPC Makungu asema tayari wameanza uchunguzi
- Mtoto Asimwe Novath aliyekuwa na miaka miwili na miezi sita akutwa amefariki na mwili kufungwa kwenye mfuko
Inabidi kwanza kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa inayohusiana na zinazoitwa "haki za binadamu".Hayo mambo ya kupiga vita hukumu ya kifo yanaanzia huko.Marais wetu sijui ni unafiki au ni shida gani, kama wanaona ni ngumu kutoa ridhaa hii hukumu itekelezwe basi waombe sheria zibadilishwe ili watu kama hawa wanyongwe haraka haraka.
Adhabu pekee inayomstahili mtu aliyetoa maisha ya mwingine kinyama kiasi hiki ni kifo tu, sio kukaa jela maisha.
Ulipo.,nipo😁.Kila kona upo tajiri😀
Itungwe sheria waganga woote wapigwe marufuku. Inasikitisha na kufedhehesha sana aibu kujitaja ni mbongo nje ya nchi inajirudia.Hakika,waganga waganga
Ukimkata akiwa amefariki unakuwa umevunja mashartiHivi kweli jamani unaanzaje kumkata mtoto mikono? Na sijui walimkata akiwa hai au walimuua kwanza?
Mungu atawalipa sawasawa na walichokifanya, nimeumizwa sana.
Kabisa kabisaItungwe sheria waganga woote wapigwe marufuku. Inasikitisha na kufedhehesha sana aibu kujitaja ni mbongo nje ya nchi inajirudia.
Mkuu uganga upo kila sehemu hata huko China, Japan na South Korea unapopasemea... Tena uganga wao ni hatari.. Jaribu hii APP (KAYSA) ipo playstore.. Inaweza kukuambia mambo ya mbeleni mi niiliifuta maana sikutaka ukweliNajua umeumia. Ila kusema Mungu atawalipa ni unajidanganya
Ukweli imani juu ya Mungu na dini ni sababu kuu ya mauaji ya huyu mtoto albino.
Biblia na quran ndio chanzo cha yote haya.
Mtu yoyote anaeamini Mungu wa kwenye Biblia ama Mungu wa kwenye Quran yupo maana yake anaamini na uchawi upo pia.
Na hao hao wanaoamini uchawi ndio wanayoyafanya haya.
Mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu anakuwa haamini na uwepo wa uchawi pia. Hivyo hawezi kuua albino maana anajua uchawi na waganga ni usanii tu.
Nchi ambazo haziamini biblia wala quran huwezi kukuta huu ujinga.
Japan, korea, china huwezi kukuta huu ujinga wa kuamini uchawi na waganga wa kienyeji
Ni simanzi kubwa.Masikini, apumzike kwa amani toto, pole kwa familia.
Viongozi wanasiasa washirikina sanaKuelekea 2025, uchaguzi mkuu.
Tutaona mengi sanaa, pumzika salama mtoto,
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
binafsi sifahamu, sijui na wala sina hakika mrangi 🐒
Sio moto tu wakatwe taratibu kuanzia kucha hadi utosini na iwe hadharani ili watu wajifunze kwa kweli inasikitisha sanaUpo sawa. Hizo takataka zinafaa zichomwe moto kwenye incinerator.