mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Pole kama hufahamubinafsi sifahamu, sijui na wala sina hakika mrangi 🐒
Ila huo ndiyo ukweli,wanasiasa na viongozi waganga na wao
Na sahvi uchagu,I unakaribia waganga wanapiga sana jela
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kama hufahamubinafsi sifahamu, sijui na wala sina hakika mrangi 🐒
nadhan washirikina sana ni washirikina wenyewe, wengine si wateja tu 🐒Viongozi wanasiasa washirikina sana
Ova
Tena mnooo, masharti ya waganga hayo.Viongozi wanasiasa washirikina sana
Ova
Mbona ume mtag huyo jamaa 😀
binafsi Neema na Baraka za Mungu zimenistahilisha mpaka hapa nilipo sasa hivi,Pole kama hufahamu
Ila huo ndiyo ukweli,wanasiasa na viongozi waganga na wao
Na sahvi uchagu,I unakaribia waganga wanapiga sana jela
Ova
Viongozi hao wanasiasa ni washirikina.....we kaa hivyo hivyonadhan washirikina sana ni washirikina wenyewe, wengine si wateja tu 🐒
Dunia uwanja wa fujo huuTena mnooo, masharti ya waganga hayo.
Eeeeh Mungu wangu, najaribu kuvuta picha ya mtoto akilia akiwa anakatwa viungo vyake nimelia machozi.Ukimkata akiwa amefariki unakuwa umevunja masharti
Usilolijua uchawi uko Dunia nzima hujafatilia tu kujua, unafikiri Africa hata kabla ya kuja dini walikuwa hawaamini katikati uchawi? Dini zimekuja na kukuta watu wakiamini na wakifanya mambo ya kishirikina Somo la historia nafikiri lilikupita au hata vita ya majimaji hukusomaNajua umeumia. Ila kusema Mungu atawalipa ni unajidanganya
Ukweli imani juu ya Mungu na dini ni sababu kuu ya mauaji ya huyu mtoto albino.
Biblia na quran ndio chanzo cha yote haya.
Mtu yoyote anaeamini Mungu wa kwenye Biblia ama Mungu wa kwenye Quran yupo maana yake anaamini na uchawi upo pia.
Na hao hao wanaoamini uchawi ndio wanayoyafanya haya.
Mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu anakuwa haamini na uwepo wa uchawi pia. Hivyo hawezi kuua albino maana anajua uchawi na waganga ni usanii tu.
Nchi ambazo haziamini biblia wala quran huwezi kukuta huu ujinga.
Japan, korea, china huwezi kukuta huu ujinga wa kuamini uchawi na waganga wa kienyeji
Dahhhh!!! very sad for sure!! Ningetegemea operation nzito ikiendeshwa na ma rpc wa mikoa ya kanda ya ziwa kwa kila waganga mpaka wakamate viungo hivyo kisha watuhumiwa watiwe nguvuni.Ukimkata akiwa amefariki unakuwa umevunja masharti
Hivi viungo wanavitumia kufanyaje kwenye siasa?