Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
BukobaNi wapi huko? Mkoa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BukobaNi wapi huko? Mkoa gani?
CIA,wale wangekuua, tunalazimshwa mambo mengi ikiwepo mikopo na ukipinga wanakumaliza.Mambo kama haya ndo yananifanya mimi nisiwe rais, namna ambavyo nchi nngeiendesha JPM alikuwa bado sana.
Kila uchaguzi ukikaribia na haya mauaji yananza.kipind cha magu ilikuwa amna kwa sababu alikuwa anachagua yeye kila mtu.Tayari kumekucha kuelekea 2025😭😭
Ndo iko hivyo af mwaka viongozi wanajipambania.naanza kuamini kuwa hii kitu ni inahusiana na wanasiasa wakati wa uchaguzi
Kipindi naisoma hii taarifa nikakumbuka jana nilikuwa na binti mmoja mwenye albinism akawa anasema yaani inakera sana mimi nahangaika kusoma hadi usiku wa manane ili nipate degree yangu nisaidie jamii halafu anakuja mtu hata darasa la saba hajamaliza nammanataka kuniua.I couldn't agree more. Hakuna kitu kinaniuma kama mauaji ya albino.
Kipindi naisoma hii taarifa nikakumbuka jana nilikuwa na binti mmoja mwenye albinism akawa anasema yaani inakera sana mimi nahangaika kusoma hadi usiku wa manane ili nipate degree yangu nisaidie jamii halafu anakuja mtu hata darasa la saba hajamaliza nammanataka kuniua.
So sad yaani