Update: Mwili wa Mtoto Albino (Asimwe) wakutwa hauna baadhi ya viungo
Ushirikina tuanze kuupinga kwenye familia zetu, koo zetu na taifa letu. Kama kuna miongoni mwetu anapenda mambo ya ushirikina aambiwe wazi na asipewe ushikiano kwenye ushirikina wake. Maofisini tukigundua bosi ni mshirikina huwa tunamuonesha kwa vitendo na maneno kuwa tumemgundua na hatutampa ushirikiano
 
Japo mimi ni mwanaume mzima na pia sio mzazi wa huyo malaika. Lakini taarifa za kifo chake na jinsi yule mama yake alivyokuwa analia imeniuma na kunitoa machozi.
 
Mambo kama haya ndo yananifanya mimi nisiwe rais, namna ambavyo nchi nngeiendesha JPM alikuwa bado sana.
Unasema saiv tu ukishaka pale kwenye kiti mambo huwa ni tofauti, jmp pmj na ubabe aliokua nao ila kuna mambo alitulia kama moja
 
Hiki linawezekana kabisa. Inabidi upite msako mkali wa wapiga ramli. Kama ule wa tokomeza. Ifike wakati mganga muaguzi awe kama muuza gongo, jambazi au bangi.
Yn hapa ndo kama ile tunasikia jambazi alitaka kutoroka tukamuua bahati mbaya, sasa ndo inatakiwa ifike huku, waseme watuhumiwa walitaka kutudhuru hvy tukajihami kwa kuwaua kwa bahati mbaya.
Mambo ya mahakama n Usengerema
 
Mungu awape nguvu ndugu na jamaa wa Asimwe.
 
TUMESHINDWA KUMLINDA, WAMEMUUA BINTI YETU ASIMWE, WAMECHUKUA BAADHI YA VIUNGO VYAKE💔

Baada ya kupotea kwa siku kadhaa asijulikane alipo. Hatimae siku ya jana mwili wa binti huyo mdogo mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) kwa jina la Asimwe ulikutwa kichakani umeviringishwa kwenye fuko huku baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimetolewa.

Wanadamu tumekosa utu, tusamehe binti yetu mzuri tumeshindwa kukulinda, tamaa ya madaraka, mafanikio ya haraka, imani potofu, vimeondoa uhai wako. Hatujui ulijiteteaje wakati wanakutoa uhai, ulikuwa unawatazama au walikufunga macho💔. Imeharibika dunia.
 

Attachments

  • Screenshot_20240618_145521_Facebook.jpg
    Screenshot_20240618_145521_Facebook.jpg
    124.6 KB · Views: 3
TUMESHINDWA KUMLINDA, WAMEMUUA BINTI YETU ASIMWE, WAMECHUKUA BAADHI YA VIUNGO VYAKE💔

Baada ya kupotea kwa siku kadhaa asijulikane alipo. Hatimae siku ya jana mwili wa binti huyo mdogo mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) kwa jina la Asimwe ulikutwa kichakani umeviringishwa kwenye fuko huku baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimetolewa.

Wanadamu tumekosa utu, tusamehe binti yetu mzuri tumeshindwa kukulinda, tamaa ya madaraka, mafanikio ya haraka, imani potofu, vimeondoa uhai wako. Hatujui ulijiteteaje wakati wanakutoa uhai, ulikuwa unawatazama au walikufunga macho💔. Imeharibika dunia.
Ni wapi huko? Mkoa gani?
 
Back
Top Bottom