UPDATE: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

UPDATE: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Hii picha nitamu sana,sana limehamia kwangu,hapo awali tulisha ua vifaranga vya nyoka kama vitano hapa nyumbani ,sasa leo usiku huu kaonekana Mkubwa mmoja alikutana na mdogo wangu WA kike tena uani alipo mwona tuu dogo kapiga kelele nyoka akakimbia,mpka muda huu saa nane uiku sijalala nipo uani nimebana kwenye kona huenda nita mwona nimwanzishie uzuri siogopagi.
 
Hii ni UPDATE ya Post yangu ya jana.

Hakika leo nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka na mtoto wa kiume ni mwanaume mana usiku wa jana sijalala kabisa.

Kuna muda nilipitiwa usingizi ila niliota ndoto mbaya kuwa nyoka wamejaa mvunguni hadi wananyanyua kitanda na wengine wamenijalia hadi wamenifunika wanaingilia puani wanatokea masikioni na mdomoni na machoni na vidole vimegeuka nyoka.

Very creepy nikashituka nikawasha taa, nikakung'uta shuka nikatandika tena nikakaa nikiperuzi mtandaoni hadi 12 kasoro ambao ni mida ya twins wangu kuamka na wakiamka break ya kwanza kuja kunisalimia.

Kwa vile pia ni mida ya walinzi kuondoka nikampigia simu mlinzi na kumuomba aende dirishani kwao awaamshe then awaambie wasishuke vitandani kwao kuna nyoka kaingia ndani kwetu mpaka masai aje amuue ndo washuke kitandani.

Hapo nilishampigia jirani yangu amuombe mlinzi wake wa kimasai aje anisaidie kuua nyoka.

Bahati nzuri jana kabla sijaingia bafuni nilienda vyumbani kwa twins wangu (Nina mapacha wa kiume na kike 10yrs) kuhakikisha wamechomeka net zao vizuri.

Baada ya muda nikasikia mlango wa chumban kwangu unagongwa. Nikajiuliza masai kaingiaje ndani kwetu wakati ndo kwanza najiuliza hapa akija nitashukaje kitandani kwenda kumfungulia mlango. Nani kamfungulia?

Wakati bado najiuliza nasikia mlango unagongwa tena then sauti ya pacha wangu wa kiume inaita mom mom!

Nikaogopa kwanini hichi kitoto hakisikii nikamwambia why did you leave your bed do you want the snake to bite you.?
.
Son:Mom!

Me:If I hear one more mom from your mouth I'll bit you today!Go back to your bed until Masai comes.

Son:Mom do you know who killed that baby snake we saw some weeks ago?

Huku ninatetemeka nikauliza
Me: Did you kill it?

Son:Yes mom! I played with it a lil then I stepped on it!

Me!Jeeeeesuuusssss!Whaaaaaaaat!?

Son:Even last time we went to visit grandma me and my friend killed a very big snake that wanted to eat grandmas chicks!

Me:Yeeeeesuuuu na Maria!Eti nini!?

Son;Mom!

Me:Enheee!

Son:How big is the snake in your bathroom mom?

Me:It is a baby snake just like the one you stepped on!

Akachekaaaa halafu akaniambia

"We d'ont need Masai for that momy!I'll kill it....Can I open the door.?

Mwanangu alivyoingia nikasema siwez kujificha kitandan nimuache aende kwenye hatari mwenyewe.

Nikashuka kitandani huku natetemeka. Alivyotaka kufungua mlango wa bafuni nikawaza hiv tukifungua halafu tukakuta kale katoto kako na mama yake na baba yake nitafanyaje.

Nikamwambia mwanagu usifungue acha tu Masai anakuja sasa hivi ila mwanangu nahisi alijifanya hajasikia akafungua mlango akaingia ikabidi na mim nimfuate huku natetemeka lkn hatukuona kitu sakafuni wala popote ila baada ya muda nikakaona kwenye kona ya ukuta na nikivyokaona tu ujasiri ukaniisha nikapiga yowe nikatoka mbio huku namvuta mwanangu mpaka chumban lkn bahat mbaya nikataka kudondoka nikamuachia mkono.

Nilivyoachia tu mkono wake mwanangu akarudi bafuni akaenda kuua kale kanyoka then akatoka nako huku kakaweka kwenye karatasi ananiambia huku anacheka "Its just a baby snake mom it cant do you nothing'.

Kale ka kike kule chumbani kalivyosikia napiga yowe na kenyewe kakapokea ikawa ni mayowe plus plus.

Watu wa fummigation wamesema wanakuja ila mpaka saa hiz hawajaja. Nimepuliza rungu 13 nyumba nyumba yote inanuka dawa.

Huyo pichani ndo mwamba alofanya nilale bila kuoga, nisipate usingizi nibane haja ndogo kwa zaidi ya masaa manne.😬
View attachment 2589175

Mkasa ulipoanzia, soma: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu
Kuwa makini na kuona vitoto vya nyoka mazingira ambayo hakuna nyoka au mtu hutarajii kuona nyoka hasa mijini kati na unapokuwa na nyumba nzuri yenye milango isiyoruhusu nyoka kuingia, mazingira masafi, etc.

Zaidi ni ile ndoto uliyoota ya kuona nyoka wengi. Watu watasema ni kwa sababu ya woga, mmmh! Kifupi, chukua hatua mapema, omba Mungu jitakase wewe na maisha yako. Sakata la nyoka ni dadili ya uvamizi wa roho za giza maishani, take it seriously!
 
""wamenijalia hadi wamenifunika wanaingilia puani wanatokea masikioni na mdomoni na machoni na vidole vimegeuka nyoka.""

🤔🤔🤔🤔Kwa ninavowajua hao nyokaz Kuna sehemu waliingia na kutokea haujataja hapo....
 
Hii ni UPDATE ya Post yangu ya jana.

Hakika leo nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka na mtoto wa kiume ni mwanaume mana usiku wa jana sijalala kabisa.

Kuna muda nilipitiwa usingizi ila niliota ndoto mbaya kuwa nyoka wamejaa mvunguni hadi wananyanyua kitanda na wengine wamenijalia hadi wamenifunika wanaingilia puani wanatokea masikioni na mdomoni na machoni na vidole vimegeuka nyoka.

Very creepy nikashituka nikawasha taa, nikakung'uta shuka nikatandika tena nikakaa nikiperuzi mtandaoni hadi 12 kasoro ambao ni mida ya twins wangu kuamka na wakiamka break ya kwanza kuja kunisalimia.

Kwa vile pia ni mida ya walinzi kuondoka nikampigia simu mlinzi na kumuomba aende dirishani kwao awaamshe then awaambie wasishuke vitandani kwao kuna nyoka kaingia ndani kwetu mpaka masai aje amuue ndo washuke kitandani.

Hapo nilishampigia jirani yangu amuombe mlinzi wake wa kimasai aje anisaidie kuua nyoka.

Bahati nzuri jana kabla sijaingia bafuni nilienda vyumbani kwa twins wangu (Nina mapacha wa kiume na kike 10yrs) kuhakikisha wamechomeka net zao vizuri.

Baada ya muda nikasikia mlango wa chumban kwangu unagongwa. Nikajiuliza masai kaingiaje ndani kwetu wakati ndo kwanza najiuliza hapa akija nitashukaje kitandani kwenda kumfungulia mlango. Nani kamfungulia?

Wakati bado najiuliza nasikia mlango unagongwa tena then sauti ya pacha wangu wa kiume inaita mom mom!

Nikaogopa kwanini hichi kitoto hakisikii nikamwambia why did you leave your bed do you want the snake to bite you.?
.
Son:Mom!

Me:If I hear one more mom from your mouth I'll bit you today!Go back to your bed until Masai comes.

Son:Mom do you know who killed that baby snake we saw some weeks ago?

Huku ninatetemeka nikauliza
Me: Did you kill it?

Son:Yes mom! I played with it a lil then I stepped on it!

Me!Jeeeeesuuusssss!Whaaaaaaaat!?

Son:Even last time we went to visit grandma me and my friend killed a very big snake that wanted to eat grandmas chicks!

Me:Yeeeeesuuuu na Maria!Eti nini!?

Son;Mom!

Me:Enheee!

Son:How big is the snake in your bathroom mom?

Me:It is a baby snake just like the one you stepped on!

Akachekaaaa halafu akaniambia

"We d'ont need Masai for that momy!I'll kill it....Can I open the door.?

Mwanangu alivyoingia nikasema siwez kujificha kitandan nimuache aende kwenye hatari mwenyewe.

Nikashuka kitandani huku natetemeka. Alivyotaka kufungua mlango wa bafuni nikawaza hiv tukifungua halafu tukakuta kale katoto kako na mama yake na baba yake nitafanyaje.

Nikamwambia mwanagu usifungue acha tu Masai anakuja sasa hivi ila mwanangu nahisi alijifanya hajasikia akafungua mlango akaingia ikabidi na mim nimfuate huku natetemeka lkn hatukuona kitu sakafuni wala popote ila baada ya muda nikakaona kwenye kona ya ukuta na nikivyokaona tu ujasiri ukaniisha nikapiga yowe nikatoka mbio huku namvuta mwanangu mpaka chumban lkn bahat mbaya nikataka kudondoka nikamuachia mkono.

Nilivyoachia tu mkono wake mwanangu akarudi bafuni akaenda kuua kale kanyoka then akatoka nako huku kakaweka kwenye karatasi ananiambia huku anacheka "Its just a baby snake mom it cant do you nothing'.

Kale ka kike kule chumbani kalivyosikia napiga yowe na kenyewe kakapokea ikawa ni mayowe plus plus.

Watu wa fummigation wamesema wanakuja ila mpaka saa hiz hawajaja. Nimepuliza rungu 13 nyumba nyumba yote inanuka dawa.

Huyo pichani ndo mwamba alofanya nilale bila kuoga, nisipate usingizi nibane haja ndogo kwa zaidi ya masaa manne.[emoji51]
View attachment 2589175

Mkasa ulipoanzia, soma: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu
Its just a baby snake mom it cant do you nothing'.
 
Yes ni ka jasiri namshukuru Mungu
Kwa taarifa tu, Pacha hawezi kung'atwa na nyoka, labda ung'atwe wewe. Nyoka akimuona pacha anazubaa na kukosa hata nguvu ya kukimbia.

Bibi yangu kazaa mapacha mara tatu(Hadi aliitwa mama mbasa)

Mama yangu mzazi kazaa mara moja,

Dada zangu wawili (Watoto wa mama mkubwa) Kila mmoja kazaa mara moja, na kuna mtoto wa dada yangu mmoja wapo hapo juu kazaa mara moja.

Pacha huwa hawang'atwi na nyoka ndo mana huyo dogo aliweza kuwaua nyoka kirahisi.
 
Hii ni UPDATE ya Post yangu ya jana.

Hakika leo nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka na mtoto wa kiume ni mwanaume mana usiku wa jana sijalala kabisa.

Kuna muda nilipitiwa usingizi ila niliota ndoto mbaya kuwa nyoka wamejaa mvunguni hadi wananyanyua kitanda na wengine wamenijalia hadi wamenifunika wanaingilia puani wanatokea masikioni na mdomoni na machoni na vidole vimegeuka nyoka.

Very creepy nikashituka nikawasha taa, nikakung'uta shuka nikatandika tena nikakaa nikiperuzi mtandaoni hadi 12 kasoro ambao ni mida ya twins wangu kuamka na wakiamka break ya kwanza kuja kunisalimia.

Kwa vile pia ni mida ya walinzi kuondoka nikampigia simu mlinzi na kumuomba aende dirishani kwao awaamshe then awaambie wasishuke vitandani kwao kuna nyoka kaingia ndani kwetu mpaka masai aje amuue ndo washuke kitandani.

Hapo nilishampigia jirani yangu amuombe mlinzi wake wa kimasai aje anisaidie kuua nyoka.

Bahati nzuri jana kabla sijaingia bafuni nilienda vyumbani kwa twins wangu (Nina mapacha wa kiume na kike 10yrs) kuhakikisha wamechomeka net zao vizuri.

Baada ya muda nikasikia mlango wa chumban kwangu unagongwa. Nikajiuliza masai kaingiaje ndani kwetu wakati ndo kwanza najiuliza hapa akija nitashukaje kitandani kwenda kumfungulia mlango. Nani kamfungulia?

Wakati bado najiuliza nasikia mlango unagongwa tena then sauti ya pacha wangu wa kiume inaita mom mom!

Nikaogopa kwanini hichi kitoto hakisikii nikamwambia why did you leave your bed do you want the snake to bite you.?
.
Son:Mom!

Me:If I hear one more mom from your mouth I'll bit you today!Go back to your bed until Masai comes.

Son:Mom do you know who killed that baby snake we saw some weeks ago?

Huku ninatetemeka nikauliza
Me: Did you kill it?

Son:Yes mom! I played with it a lil then I stepped on it!

Me!Jeeeeesuuusssss!Whaaaaaaaat!?

Son:Even last time we went to visit grandma me and my friend killed a very big snake that wanted to eat grandmas chicks!

Me:Yeeeeesuuuu na Maria!Eti nini!?

Son;Mom!

Me:Enheee!

Son:How big is the snake in your bathroom mom?

Me:It is a baby snake just like the one you stepped on!

Akachekaaaa halafu akaniambia

"We d'ont need Masai for that momy!I'll kill it....Can I open the door.?

Mwanangu alivyoingia nikasema siwez kujificha kitandan nimuache aende kwenye hatari mwenyewe.

Nikashuka kitandani huku natetemeka. Alivyotaka kufungua mlango wa bafuni nikawaza hiv tukifungua halafu tukakuta kale katoto kako na mama yake na baba yake nitafanyaje.

Nikamwambia mwanagu usifungue acha tu Masai anakuja sasa hivi ila mwanangu nahisi alijifanya hajasikia akafungua mlango akaingia ikabidi na mim nimfuate huku natetemeka lkn hatukuona kitu sakafuni wala popote ila baada ya muda nikakaona kwenye kona ya ukuta na nikivyokaona tu ujasiri ukaniisha nikapiga yowe nikatoka mbio huku namvuta mwanangu mpaka chumban lkn bahat mbaya nikataka kudondoka nikamuachia mkono.

Nilivyoachia tu mkono wake mwanangu akarudi bafuni akaenda kuua kale kanyoka then akatoka nako huku kakaweka kwenye karatasi ananiambia huku anacheka "Its just a baby snake mom it cant do you nothing'.

Kale ka kike kule chumbani kalivyosikia napiga yowe na kenyewe kakapokea ikawa ni mayowe plus plus.

Watu wa fummigation wamesema wanakuja ila mpaka saa hiz hawajaja. Nimepuliza rungu 13 nyumba nyumba yote inanuka dawa.

Huyo pichani ndo mwamba alofanya nilale bila kuoga, nisipate usingizi nibane haja ndogo kwa zaidi ya masaa manne.[emoji51]
View attachment 2589175

Mkasa ulipoanzia, soma: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu
Nlijua ukweli kumbe mzushi tuusituchukulie poa
 
Hii ni UPDATE ya Post yangu ya jana.

Hakika leo nimeamini mtoto wa nyoka ni nyoka na mtoto wa kiume ni mwanaume mana usiku wa jana sijalala kabisa.

Kuna muda nilipitiwa usingizi ila niliota ndoto mbaya kuwa nyoka wamejaa mvunguni hadi wananyanyua kitanda na wengine wamenijalia hadi wamenifunika wanaingilia puani wanatokea masikioni na mdomoni na machoni na vidole vimegeuka nyoka.

Very creepy nikashituka nikawasha taa, nikakung'uta shuka nikatandika tena nikakaa nikiperuzi mtandaoni hadi 12 kasoro ambao ni mida ya twins wangu kuamka na wakiamka break ya kwanza kuja kunisalimia.

Kwa vile pia ni mida ya walinzi kuondoka nikampigia simu mlinzi na kumuomba aende dirishani kwao awaamshe then awaambie wasishuke vitandani kwao kuna nyoka kaingia ndani kwetu mpaka masai aje amuue ndo washuke kitandani.

Hapo nilishampigia jirani yangu amuombe mlinzi wake wa kimasai aje anisaidie kuua nyoka.

Bahati nzuri jana kabla sijaingia bafuni nilienda vyumbani kwa twins wangu (Nina mapacha wa kiume na kike 10yrs) kuhakikisha wamechomeka net zao vizuri.

Baada ya muda nikasikia mlango wa chumban kwangu unagongwa. Nikajiuliza masai kaingiaje ndani kwetu wakati ndo kwanza najiuliza hapa akija nitashukaje kitandani kwenda kumfungulia mlango. Nani kamfungulia?

Wakati bado najiuliza nasikia mlango unagongwa tena then sauti ya pacha wangu wa kiume inaita mom mom!

Nikaogopa kwanini hichi kitoto hakisikii nikamwambia why did you leave your bed do you want the snake to bite you.?
.
Son:Mom!

Me:If I hear one more mom from your mouth I'll bit you today!Go back to your bed until Masai comes.

Son:Mom do you know who killed that baby snake we saw some weeks ago?

Huku ninatetemeka nikauliza
Me: Did you kill it?

Son:Yes mom! I played with it a lil then I stepped on it!

Me!Jeeeeesuuusssss!Whaaaaaaaat!?

Son:Even last time we went to visit grandma me and my friend killed a very big snake that wanted to eat grandmas chicks!

Me:Yeeeeesuuuu na Maria!Eti nini!?

Son;Mom!

Me:Enheee!

Son:How big is the snake in your bathroom mom?

Me:It is a baby snake just like the one you stepped on!

Akachekaaaa halafu akaniambia

"We d'ont need Masai for that momy!I'll kill it....Can I open the door.?

Mwanangu alivyoingia nikasema siwez kujificha kitandan nimuache aende kwenye hatari mwenyewe.

Nikashuka kitandani huku natetemeka. Alivyotaka kufungua mlango wa bafuni nikawaza hiv tukifungua halafu tukakuta kale katoto kako na mama yake na baba yake nitafanyaje.

Nikamwambia mwanagu usifungue acha tu Masai anakuja sasa hivi ila mwanangu nahisi alijifanya hajasikia akafungua mlango akaingia ikabidi na mim nimfuate huku natetemeka lkn hatukuona kitu sakafuni wala popote ila baada ya muda nikakaona kwenye kona ya ukuta na nikivyokaona tu ujasiri ukaniisha nikapiga yowe nikatoka mbio huku namvuta mwanangu mpaka chumban lkn bahat mbaya nikataka kudondoka nikamuachia mkono.

Nilivyoachia tu mkono wake mwanangu akarudi bafuni akaenda kuua kale kanyoka then akatoka nako huku kakaweka kwenye karatasi ananiambia huku anacheka "Its just a baby snake mom it cant do you nothing'.

Kale ka kike kule chumbani kalivyosikia napiga yowe na kenyewe kakapokea ikawa ni mayowe plus plus.

Watu wa fummigation wamesema wanakuja ila mpaka saa hiz hawajaja. Nimepuliza rungu 13 nyumba nyumba yote inanuka dawa.

Huyo pichani ndo mwamba alofanya nilale bila kuoga, nisipate usingizi nibane haja ndogo kwa zaidi ya masaa manne.[emoji51]
View attachment 2589175

Mkasa ulipoanzia, soma: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu
Naomba tenda ya kukufanyia furmigation my no is 0746111608
 
Back
Top Bottom