UPDATE: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

UPDATE: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Pole, kuna jirani yangu yeye alimuona tandu usiku, asubuhi kakimbiza familia wakaja watu kumfanyia usafi walichokuta ni tandu wa zamani aliyekufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna siku niliona kitu cheusi kutoka dirishani kinanyenyereka kuishia kwenye pazia. Ama sikuwaza hata mara 2 nilikuwa namuogesha mtt mchanga kwenye beseni nilivuta taula tu nikainuka mbio. Najiuliza sijui nini hiki...ikabidi tufanye kazi na dada ya kutoa baadhi ya vitu na kupulizia spray ya wadudu mpk nikahakikisha chupa yote imeisha. Ajabu hatukuona kitu kutokeza. Ila ilipofika usiku namuona tandu juu ya kabati la drawers kalegea kwa dawa...tukajua huyu ndie alotushughulisha. Sehem tulokuwa tunakaa kulikuwa na tandu wengi
 
Kwa taarifa tu, Pacha hawezi kung'atwa na nyoka, labda ung'atwe wewe. Nyoka akimuona pacha anazubaa na kukosa hata nguvu ya kukimbia.

Bibi yangu kazaa mapacha mara tatu(Hadi aliitwa mama mbasa)

Mama yangu mzazi kazaa mara moja,

Dada zangu wawili (Watoto wa mama mkubwa) Kila mmoja kazaa mara moja, na kuna mtoto wa dada yangu mmoja wapo hapo juu kazaa mara moja.

Pacha huwa hawang'atwi na nyoka ndo mana huyo dogo aliweza kuwaua nyoka kirahisi.
Eweeee
 
Mie kuna siku niliona kitu cheusi kutoka dirishani kinanyenyereka kuishia kwenye pazia. Ama sikuwaza hata mara 2 nilikuwa namuogesha mtt mchanga kwenye beseni nilivuta taula tu nikainuka mbio. Najiuliza sijui nini hiki...ikabidi tufanye kazi na dada ya kutoa baadhi ya vitu na kupulizia spray ya wadudu mpk nikahakikisha chupa yote imeisha. Ajabu hatukuona kitu kutokeza. Ila ilipofika usiku namuona tandu juu ya kabati la drawers kalegea kwa dawa...tukajua huyu ndie alotushughulisha. Sehem tulokuwa tunakaa kulikuwa na tandu wengi
Sie wenyewe tandu walikuwa wengi sana kumuona ndani sio ajabu, ila alivyo na speed ukimuona tu maramoja ukapiga ukope hayupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaitwa Blind Snake hana sumu na hang'ati.
Hakanaga madhara haka kajamaa wengi wanadai ukikutana nae kuna bahati hapo mbele..
Kwa hiyo haviwi na umbo kubwa?
Ngojea niingojee hiyo bahati mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Kwa taarifa tu, Pacha hawezi kung'atwa na nyoka, labda ung'atwe wewe. Nyoka akimuona pacha anazubaa na kukosa hata nguvu ya kukimbia.

Bibi yangu kazaa mapacha mara tatu(Hadi aliitwa mama mbasa)

Mama yangu mzazi kazaa mara moja,

Dada zangu wawili (Watoto wa mama mkubwa) Kila mmoja kazaa mara moja, na kuna mtoto wa dada yangu mmoja wapo hapo juu kazaa mara moja.

Pacha huwa hawang'atwi na nyoka ndo mana huyo dogo aliweza kuwaua nyoka kirahisi.
Imani nyingi za kweli na uwongo zinahusishwa na mapacha ila kitu kimoja ni hakika they are special
 
Mie kuna siku niliona kitu cheusi kutoka dirishani kinanyenyereka kuishia kwenye pazia. Ama sikuwaza hata mara 2 nilikuwa namuogesha mtt mchanga kwenye beseni nilivuta taula tu nikainuka mbio. Najiuliza sijui nini hiki...ikabidi tufanye kazi na dada ya kutoa baadhi ya vitu na kupulizia spray ya wadudu mpk nikahakikisha chupa yote imeisha. Ajabu hatukuona kitu kutokeza. Ila ilipofika usiku namuona tandu juu ya kabati la drawers kalegea kwa dawa...tukajua huyu ndie alotushughulisha. Sehem tulokuwa tunakaa kulikuwa na tandu wengi
Poleni 😬😬
 
Back
Top Bottom