Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Hawabebwi mkuu, kule ni kupakatwa
Tuliwaambia kuwa mwamuzi naye ni binandamu, tukatoa mifano mingi sana lakini hawakutaka kusikia sasa kiko wapi?
Basi kama umekataa sio goli, kona inatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawabebwi mkuu, kule ni kupakatwa
Tumebebwa wapi Mtani? Acheni kudanganyana.
Mkuu nakuhakikishia kocha wa Simba hatafikisha mechi 5 zijazo akiwa kocha.
Tungekuwa sisi hapo. Tusinge piga mswaki..
Mpira bana yaani kimasihara masihara tu na leo Simba mumegeuka VAR kama Yanga. Hahahahaaaa.Mpira uko ndani ya nyavu kabisa unaambiwa hiyo ni kona hahahahahahahahah
😂😂😂😂Leo mikia imeumia sana.
Nimesoma Post kuanzia mwanzo hadi mwisho Binamu. Umeona shombo la wenzako humo. Hahahahaaa.Tungekuwa sisi hapo. Tusinge piga mswaki..
Cha ajabu Mikia nao wamegeuka VAR. Hii ni kazi ya Yanga jamaani.
Wacheni kuteseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aah Bina hata mie😁😁😁Nikiyamwaga una budi kuyazoa..Nimesoma Post kuanzia mwanzo hadi mwisho Binamu. Umeona shombo la wenzako humo. Hahahahaaa.
Hivyo K*ny* an*e kuku aki**a bata kah**isha. 😂😂😂.
Duuh!! Leo umekuwa na busara kama sio weye vile Mtani. 😎😎Mkuu Shadeeya Leo mnatafuta majibu ya kujibu lakini hampati pa kutokea, hasa mimi binafsi nilisema kuwa kuna wakati refa ni binadamu lakini mlikazania kubembwa ndo maana leo mmeumbuka [emoji23]
Maana yake mjifunze kuweka akiba ya maneno, Nugaz jana Wasafi radio aliongea kitu kizuri sana, kwamba yale hata Yanga yanatokea au yatatokea mbeleni.
Ok, mpira haukingia asilimia 100% Kona ya nini?View attachment 1348060
Me napenda kuangalia habari za michezo Cha sports arena cha wasafi fm wale hawana ushabiki na uteam wanachambua soka kwa weredi
Kwani diamond ni mchambuzi wa soka?We ni team Mond, kwa vyovyote vile lazima ukiongelee vizuri kila kinachomhusu Mondi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuoneshe tukio kamili tuone mpira ulipo na mstari wa goli ulipo ili tuone mpira ulivuka mstari au lah! Sasa unaleta picha ambayo hata goal line hauonekani vizuri upande wa mpira ulipoHawa ndio ambao hawabebwi Vyura assistance referee.(VAR FC) tuleteeni mrejeshoView attachment 1348055
Kama si ushabiki na wewe tuambie goli halali lililokataliwa.Lipuli alipata goli lilikataliwa.
Na mengine mengi tu.
Leo unafiki wenu utadhihirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unalazimisha kuw goli lakini inashindikana. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Masikini mbumbumbu sisi siyo kama nyinyi, mnaiba wazi wazi. Kwanini mnakuwa na matumizi mabaya ya akili?Hawa ndio ambao hawabebwi Vyura assistance referee.(VAR FC) tuleteeni mrejeshoView attachment 1348055
Tatizo mnalazimisha ionekane Yanga inabebwa kama nyie. Karia na Mwakyembe pamoja na uSimba wao wameona aibu.Lipuli alipata goli lilikataliwa.
Na mengine mengi tu.
Leo unafiki wenu utadhihirika
Sent using Jamii Forums mobile app