Updates: Diamond Platnumz na Zari wapata mtoto wa kiume

Zamani tulikuwa tunaambiwa Diamond ni freemasons, na ukiwa member wa freemasons huwezi/huruhusiwi kupata mtoto. Sasa mpaka leo najiuliza Jay Z ni freemasons ana watoto, Chrisbrown nk
[emoji117] Hongera Zaribosslady na Diamond Platnumz kwa kupata mtoto.
-*Raha sana kuwa na watoto wengi, mfano ukiwa na watoto 10 akafariki mmoja basi angalau hakuna ubaya wamebaki 9. Kuliko kuwa na mtoto mmoja au wawili ukapoteza mtoto mmoja utabaki na majonzi na masikitiko sana kwa maisha yote mpaka kifo.
 
wamtoleee kizazi ametosha sasa au mpk amalize makabila!kila la heri lkn
 
Dah . .RAHA sana . .namwombea dua!
 
Dah! atakuwa mtoto wa ngapi vile!!! Ngoma bado inavuta!?!
 
Ile ni incubator bro... Chibu atashindwa yeye kuendelea kuzalisha, yule mdada naweza sema ana asili ya kwetu Giningi maana sisi mwenye wachache basi ni 8
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…