Updates: Diamond Platnumz na Zari wapata mtoto wa kiume

Hivi zile story za Tiffa baba ake ni Ivan ziliishia wapi au haters walisarenda? Sasa ole wake aje mtu aseme Chibu Jr baba ake Chameleon #atapumuliwa#
 
Picha ya mtoto bado...hizo zinazotoka feki..ukitaka umuone panda dau ... itakua kama ya tifah..anaanza kuoneshwa mara wiki hii mguu, mara wiki ijayo mikono...na voda wanaweza wkaafanya kama walivofanya kwa tifah
 
Mapenzi ya Mungu yatimizwe kwa kadiri ya kiu ya wazazi wa kiumbe kitarajiwa!
 
Hahah
 
[emoji23][emoji23]au huwa hateseki sisi wengine ni kero kutapika,kula ni shida kuugua ndio kuugua mwanzo mwisho kwakweli anajitahid
Haha kudeka mwanzo mwisho nyie wabongo ..mara nataka miwa..mara chokleti mara chips kavu mara mishkaki mara asali mara pipi..mara sitak kusikia harufu yako yan full drama ..mara uwiii kiuno ... lakin bibie wala yeye mazoez na tizi utadhan yuko depo vile anajiandaa kwenda vitani duuuh namuangaliaga tu simmalizi ze boss ze ledi
 
wamtoleee kizazi ametosha sasa au mpk amalize makabila!kila la heri lkn
i wish mtu aseme maneno haya haya uliyoyaandika kwako
halafu Mungu akupe majaribu ukumbuke uliyoyasema
 
Zari hongera kwa kufyatua Mama mimi nasema fyatua tuu hakuna shida Chibu yupo....
 
Freemasons ni Imani ya kijinga iliyotungwa tu.

Hakuna kitu kama hicho.
 
Freemasons ni Imani ya kijinga iliyotungwa tu.

Hakuna kitu kama hicho.
Freemason siyo imani ni organization ambayo ipo ila watanzania wengi tunaielewa ndivyo sivyo! Tafuta vitabu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…