Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kwani huko ambako kilikuwa hakijapoteza kasi mungu hakuwa Mungu ?Mungu ni Mungu
Haya basi NABII tuambie kanisa lako liko wapi tukuletee sadakaNiliomba kwamba haitatukia na kweli. Inakuwa hivyo
Nicheki PMHaya basi NABII tuambie kanisa lako liko wapi tukuletee sadaka
Watanzania huwa tunawahi kusahau, Profesa Assad aliwahi kusema kwamba Mr. JOBO na chombo chake ni wadhaifu.Kimbunga Jobo chawa dhaifu baada ya kukaribia kuingia Tanzania
Madhara ya kimbunga hicho sasa kupungua hivyo tuendelee kuchukua tahadhari
Mungu ni Mungu
Aksanteni kwa Maombi yenu Watanzania
TMA
View attachment 1762433
Kimbunga ni majanga ya ASILI na sisi ni wa ASILI tutapatana tu....
Imani yetu haichanganywi na chuki Kama yako.Kwenye Mungu kuiepusha Tanzania na Kimbunga mnaamini na mnashupalia ila kuamini kuwa Mungu aliiepusha Tanzania na bwana yule kwa kumtwaa hamtaki kuamini! What a double standard? Tanzania ni ile ile na Mungu ni yule yule Mataga nyinyi, kubalini Mungu anaipenda Tanzania na anailinda na mabaya yote!
Asante Mungu usikiaye na kujibu maombi ya waja wako, tuendelee kuomba wale tunaowiwa kuombaKimbunga Jobo chawa dhaifu baada ya kukaribia kuingia Tanzania
Madhara ya kimbunga hicho sasa kupungua hivyo tuendelee kuchukua tahadhari
Mungu ni Mungu
Aksanteni kwa Maombi yenu Watanzania
TMA
View attachment 1762433
Kazi Iendelee.Kwani watanzania wenyewe wanasemaje?