Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Barabara ya Arusha moshi watu wamejipanga toka KIA hadi mjini Arusha. Network za internet ndo tatizo. kuna idadi ya watu wengi sijawahi kuona. kuna haja ya kuwa na TV ya CDM. Usafiri wa daladala hakuna. Pamoja na amri ya kukataza maandamano watu wanaandamana na polis wanalinda usalama na kuongoza maadamano.
 
We we kaachonjo utaanguka Bp picha utaziona mafungu kwa mafungu inaonyesha jinsi gani huijui RChuga tulia uonee
 
Ccm wajanja sana kuanzia juz trafic walikuwa wanakamata sana bodaboda,afu wamemzuia EL kufanya mkutano uwanja wa sheik amri abeid(uko mjini),amepewa uwanja uko kimandolu ambako hakupitik kabisa..
Leo mji mzima umejaa police,ndo tunaelekea uwanjan lkn tunaambiwa watu n weng mnoo

Sheikh Amri Abeid mali ya CCM hawawezi kumpa Lowassa autumie
 
Hizo picha za mapema sana subiri niweke picha sasa hivi usikie jk kaanguka kwa pressure
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza sana jeshi la polisi kwa kudhibiti wahuni wanaotaka kuvuruga amani ndani ya jiji hili.

Nimeviona vikosi vya jeshi la polisi vikijipanga vilivyo hapo maeneo ya central na pengine wakihitajika watafika eneo la tukio lolote litakaloashiria kuvunjika kwa amani.

Wakazi wengi wa jiji hili la Arusha wako katika shughuli zao za kawaida na hawako tayari kuona yale yaliyowakuta 2011 yakitokea huku walichokuwa wakikiandamania hakieleweki.

Mitaa ya kaloleni,Sekei,Bondeni,Naura,fire na maeneo yote ya katikati mwa jiji hali ni shwari.

Ki ufupi Arusha haina mafuriko wala kimbunga pako shwari kabisa.






shame on you umetumwa wewe na ccm
 
Arusha watu wanaendelea na shughuli zao Kama kawaida....

Tukutane October 25
 
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza sana jeshi la polisi kwa kudhibiti wahuni wanaotaka kuvuruga amani ndani ya jiji hili.

Nimeviona vikosi vya jeshi la polisi vikijipanga vilivyo hapo maeneo ya central na pengine wakihitajika watafika eneo la tukio lolote litakaloashiria kuvunjika kwa amani.

Wakazi wengi wa jiji hili la Arusha wako katika shughuli zao za kawaida na hawako tayari kuona yale yaliyowakuta 2011 yakitokea huku walichokuwa wakikiandamania hakieleweki.

Mitaa ya kaloleni,Sekei,Bondeni,Naura,fire na maeneo yote ya katikati mwa jiji hali ni shwari.

Ki ufupi Arusha haina mafuriko wala kimbunga pako shwari kabisa.View attachment 276636

Unatamani kuona mambo yanakwama lakini utaratibu unaendeleaje kwa Utulivu, watu wameshakusoma na kukupuuza!Endelea kuhangaika mwishowe utataga na uatamie.
 
Back
Top Bottom