Mwanakijiji,
Unadhani hawa watu wameteuliwa kwa sifa gani walizonazo? Mimi nadhani udini.
1.Omar Ramadhan Mapuri (China)
2.Adadi Rajabu (Zimbabwe)
3.Mwanaidi Sinare Maajar (London-Uingereza)
4.Ahamada Ngemera (Berlin-Ujerumani)
5.Hussein Said Khatib (Muscat-Oman)
Freedom is coming tomorrow
ee bwana watu wamefurika pande hz za a town ful shangwe watu wamejpanga vilivo kumlaki mh.lowassa nyomi sijui hii oxygen ya a-town itatosha
Sema jingine
Kwanini baregu safari marando mdee tundu lissu na mnyika hawafuatani na lowasa? hata mbatia naona kama analazimisha tu. It seems lowasa ana team yake tofauti na team ya chadema.
Picha wapi acha manenoNipo hapa uwanjani watu ni wengi sna ila uwanja ni mbovu ajabu ndo mana picha zinaonekana baadhi ya sehemu hakuna watu kutokana na matope uwanjani.bora uwanja wa nmc.
Sure, but let us wait a bit. Halafu mleta mada mambo ya kuanzisha uzi saa tisa usiku then unasepa, SIO.Updates za leo zinaniangusha sana yaani nilichotegemea, sio! Maelezo ni mengi mno, lakini picha zinarudiwa zilezile, :big up kwa wana mbeya kwa updates nzuri siku ya jana.
Lete picha acha maneno mengiNipo hapa uwanjani kimandulu kwenye mkutano wa ukawa yaan ni mafuriko anayesema watu ni wachache ni mwongo hajifka hapa uwanjani yaani ni people's tuuu! Hapa
Today!
Pinga kwa hoja au picha mzee.
Mwaka huu watu wamegoma kutolewa kafara
Wewe umetumwa na nani?
Mi nasikia milipuko...au ni masikio yangu!