Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA


weka pichaa mkuu..
 
Kwanini baregu safari marando mdee tundu lissu na mnyika hawafuatani na lowasa? hata mbatia naona kama analazimisha tu. It seems lowasa ana team yake tofauti na team ya chadema.

Mgawanyo wa majukumu.
Mtakohoa damu mwaka huu
 
We pumba kabisa unakanyaga brake kama unakanyaga maishine ya Unga???? Wacha gari bana.... Ahahahahahaha
 
Updates za leo zinaniangusha sana yaani nilichotegemea, sio! Maelezo ni mengi mno, lakini picha zinarudiwa zilezile, :big up kwa wana mbeya kwa updates nzuri siku ya jana.
Sure, but let us wait a bit. Halafu mleta mada mambo ya kuanzisha uzi saa tisa usiku then unasepa, SIO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…