Bilal alikatwa, Pinda alikatwa wote ni makapi, Watubu waje UKAWA!
Usidanganyike, Magufuli atashinda. Baada ya hapo ccm itakuwa na nafasi nzuri sana kujisafisha hasa kama Kikwete atakuwa na busara kuachia uenyekiti mapema mwakani.Masha ni hasara. Ila ndo hivyo tena.
Atafata Karamagi kesho Mwanza, then Rostamu kisha Manji afu mchezo unamalizwa na JK kumchinjia baharini makomeo....
Jamaa wamejipanga kurudi kupitia mlango wa Chadema. Aibu!!
Masha aligombea Sengerema kashindwa na Ngeleja kaamua akimbilie Chadema
M/kiti wa ccm mkoa wa shinyanga Mgeja:
Nataka niseme maneno machache,
Kwanza juzi mpaka saa nne na dk 59 nilikuwa mwenyekiti wa ccm, saa tano na dk nikajitoa ccm, baada ya kugundua ndani ya ccm hakuna hakuna haki, nami nikaona nijiunge na chadema chama chenye haki.
Jana mmemsikia vuvuzela ikipiga kelele kuwa tunamfuata Lowassa, ningekuwa namfuata Lowassa ningeenda Monduli nyumbani kwake.
Nashangaa vuvuzela Nape eti nimehama chama kisa mtoto wangu ameangushwa ubunge, nataka nimwambie Nape kuwa nina uzefu wa kushindwa, nampa Salamu kuwa tutakutana Mtama.
Nimepigiwa simu zaidi ya 800 zote zinanipongeza, simu sita tu zilikuwa zinanisikitia.
Niseme tu nyumba ya ccm inaungua unasubiri nini kuaga?
Nataka niwaambie Nape na wenye akili kama ya Nape kuwa waeleze wale vigogo wanaojihusisha na ujangili(Kinana) Waeleze fedha za escrow ziko wapi, ccm ni kichaka cha waizi, ccm waeleze kwanini shilingi inashuka, ccm mwulizeni Kikwete unatuachaje? Ataacha umaskini, chuki, husda na rushwa.
Pombe mwisho kaunta, mtaani ni Lowassa
Sasa unasemaje mji umesimama wakati upande mwingine watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida*** unajua maana ya mji kusimama?? Rais wenu atakaguaje gwaride,, amir jeshi mkuu atakuwaje na afya ambayo sio nzuri,, amir jeshi atakuaje anapoteza kumbukumbu,, hatuhitaji kuwa kwenye risk ya kuitisha uchaguzi kabla ya 2020. Tunahitaji rais aliye fit kiafya..
Mbio za sakafuni hizo.
Wanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Laurence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe
Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara
Robinson Mwenyekiti wa uv ccm Arusha
Sioi Sumari
Mafuriko ya arusha yamewazoa na kuwatakatisha.