OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
CCM hamjui hesabu kabisa !sio kila atakae hamia chadema atapewa nafasi ya kuongoza lkn hao watakiwa wapiga kula ili tukiangamize ccm :kwa hesabu ya haraka mtu mmoja akiamia chadema akawa kashawishi ndugu wa kalibu na familia yake plus mafiki zake = 1×50=50
je ktk jimbo wakihama watu 100 jumla itakuwa 5000
je kwa nchi nzima ?
Mambo ya let X=W
If W =1*50 then X=50
Huwezi weka hi mambo kwa watu wenye utashi na kuona, wanatumia akili na wanabadilika