Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

CCM hamjui hesabu kabisa !sio kila atakae hamia chadema atapewa nafasi ya kuongoza lkn hao watakiwa wapiga kula ili tukiangamize ccm :kwa hesabu ya haraka mtu mmoja akiamia chadema akawa kashawishi ndugu wa kalibu na familia yake plus mafiki zake = 1×50=50
je ktk jimbo wakihama watu 100 jumla itakuwa 5000

je kwa nchi nzima ?
 
Ndesamburo:
Leo ni siku ya furaha kwasbb nimechoka kuwa mpinzani miaka 25. Tarehe 25 Oct tunakwenda kutawala.
 
wana arusha wanamtaka dr slaa hawamtaki lowasa

Acha uongo.jaribu kuwa realistic.sisi wana ccm inabidi tuangalie wapi tulipotereza ili turekebishe haraka kabla hali haijawa mbaya zaidi.
 

We endelea kuishi kwa ramli tuu...

Narudia kukwambia kuwa mwaka huu things will never be the same...

Hatuwezi kuletewa rais wa mfukoni...
 
siyoi kamfata baba mkwe
lawrance alishakataliwa na wananchi mdaaaa.....
 
Waliojiunga na CHADEMA leo hii Arusha ktk mkutano wa hadhara wa kumtambulisha Lowassa Chadema Arusha.


  • Laurence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe

  • Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara

  • Robinson Mwenyekiti wa uvccm Arusha

  • Sioi Sumari

  • Yona Nko aliyekuwa mkiti ccm mkoa Arusha

  • Mgombea ubunge Simanjiro

  • Goodluck Sipira katibu wa ccm Arusha anatokea Longido

  • Wazee wa kimila wa kimasai nchi nzima
 

Attachments

  • CMdB4TYWUAA8J2L.jpg
    25.9 KB · Views: 866
We endelea kuishi kwa ramli tuuj...

Narudia kukwambia kuwa mwaka huu things will never be the same...

Hatuwezi kuletewa rais wa mfukoni...
Naona CCM inajitakasa vyema sana. Dr. John Joseph Pombe Magufuli ataingia na watu safi ndani ya Ikulu, wachafu na wachafuzi wote wamejivua gamba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…