OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
CCM hamjui hesabu kabisa !sio kila atakae hamia chadema atapewa nafasi ya kuongoza lkn hao watakiwa wapiga kula ili tukiangamize ccm :kwa hesabu ya haraka mtu mmoja akiamia chadema akawa kashawishi ndugu wa kalibu na familia yake plus mafiki zake = 1×50=50
je ktk jimbo wakihama watu 100 jumla itakuwa 5000
je kwa nchi nzima ?
Mkuu tupo wamoja kama Lowasa na watanzaniaLema kanifurahisha sana leo. Kamwambia Kikwete wazi wazi. Kuwa Tanzania sio ya baba yake wala mama yake.
Lema: Kama mbaya haki ya iwe mbaya!
Namuunga mkono!
Ila tu waendelee kuwa waanchama wa CHADEMA hata baada ya Tarehe 25-Octoba. Wasije wakaanza kuhama tena wakishindwa na huko.
Mkuu hapa suala siyo Richmond bali ni kunadi sera na ilani za vyama. Mgombea wa CHADEMA ataweza kweli kusimama na kunadi sera za CHADEMA? Anazifahamu? Au atakuwa ananadi za CCM wakati mgombea mwenza ananadi za CUF! Watu watachanganyikiwa na Magufuli anaingia Ikulu akiwa na CCM iliyotakasika!Haitusaidii sana kuongea wakati wa kampeni,walikuwa wapi kuongea kipindi chote akiwa huko? Wakianza kuongea waongee yote na ya ESCROW especially beneficiaries wa Stanibic.Vinginevyo mnatwanga maji kwenye kinu kama single yenu ni hiyo ya Richmond. "Pombe mwisho kaunta,mtaani ni Lowassa tu" By Mgeja
chadema kimeshakuwa chama cha makapi ya ccm
Leo ndio leo, mtoto hatumwi dukani Arusha.
Kila la kheri huko makamanda na wana mabadiliko.
#TogetherWeStand
#LowassaForPresidency2015
Naona CCM inajitakasa vyema sana. Dr. John Joseph Pombe Magufuli ataingia na watu safi ndani ya Ikulu, wachafu na wachafuzi wote wamejivua gamba!!
Nahisi kama jk nae atachukua kadi!!!!!
CCM hamjui hesabu kabisa !sio kila atakae hamia chadema atapewa nafasi ya kuongoza lkn hao watakiwa wapiga kula ili tukiangamize ccm :kwa hesabu ya haraka mtu mmoja akiamia chadema akawa kashawishi ndugu wa kalibu na familia yake plus mafiki zake = 1×50=50
je ktk jimbo wakihama watu 100 jumla itakuwa 5000
je kwa nchi nzima ?