Endeleeni kujifariji na makapi yenu. Mtu anahama chama kwa kuwa mtoto wake kakosa ubunge wa viti maalumu? Lowasa ni fisadi na ndio maana kamati ya maadili imemkuta na matatizo lukuki.
Yakiisha makapi yote, CCM itakuwa chama salama, chenye kufuata misingi.
We ndooorobo kweli na ccm yako.hivi mnaandika lakin?
Mimi naona mnazid kupagawaa
Leo mmemkata lowasa kwa kuwa ni fisadi ushahid hamna.
Then kesho wake mnawapitisha watu kama chenge wa escrow tibaijuka wa escrow na ngeleja wa esrow kwenye kugombea ubunge watu waliokiri wenyewe kuhusika na ufisadi ule.
Hivi mna akili timamu nyinyi.