Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA


Mind ur language u fool.
Ur mouth is bigger than ur brain! Its bushit if we don't agree the situation and chase the shadows!
Do u expect wapinzani wanashushwa na malaika Gabliel? Mbona hujaelezea waliobaki wamefanya nini na wanafanya nini?
 
Last edited by a moderator:
mkuu mabomu yamepigwa sehemu gani? mbona naona taarifa ya mabomu kupigwa lakini sioni yamepigwa wapi?

Mkuu tumepigwa mabomu maeneo ya nduruma na tukazuiliwa kwenda kwenye mkutano(hususan bodaboda wote) roho imeniuma sana tumetoka KIA salama lakini wametufanyia unyama karibu na eneo la mkutano.
tutakutana oktoba.
 
Hakuna lolote huyo jambazi hawezi kuwa rais. You will come and tell me, I am old enough to know that EL will never govern this country whether you like it or not.

Old my foot the road is very unpredictable now! People need changes! i know u hv a lot to guarantee but msidharau! Na vichwa vinawagonga saaana! Najua umeongea kwa confidence kisa una mzee ccm au rafiki TISS but this time ni nguvu ya umma! Kwani mnadhan Kenya na Zambia ilikuwaje?
 
Nendeni mkanywe naye chai khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Nawewe nenda ukapige nae picha kabla hajatoka madarakani! Hadi wema kapiga nae umebaki wewe tuu!
 
Msikurupuke!!!!! mbona hamkumshitaki kwa uizi wowote ambao mmeuongea? au kwakuwa amekaa kimya tu? unaweza kutoa ushahidi wa maelezo yako? linda kinywa chako brother ni hatari ww ni mchonganishi.
 

Everything has a limit!
 
Mimi naona wangemuapisha tu aingie Ikulu tusubiri uchaguzi wa wabunge.

EL hana mpinzani wa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…