Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani hapo kuna uvunjifu wa Amani??
Mmemsahau makomeo kila siku mnamfanyia promo rais lowasa tu?amakweli nyinyi maccm ni majinga yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hapo kuna uvunjifu wa Amani??
kwa Dar inapatikana mita band gani mkuu?Radio 5 arusha iko hewani live,
Ya ukawa yanakuhusu nini? endelea na uzi wa Magufuli au kama vipi mwnadalie mumeo chakulaMlioko hapo kimandolu wekeni picha.acheni porojo
Zile porojo za Arusha hapatoshi tusizike tena.Propaganda zina mwisho.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mi nasikia milipuko...au ni masikio yangu!
Hii picha ya chini,lete maelezo kamili,sijaelewa.
Naona unatafuta mume jf.nitakutoa busha sasa hivi.pumbavu wewe.Ya ukawa yanakuhusu nini? endelea na uzi wa Magufuli au kama vipi mwnadalie mumeo chakula
Zile porojo za Arusha hapatoshi tusizike tena.Propaganda zina mwisho.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Tatizo watu wa Arusha mbwembwe kibao matendo msuli wa mbu yani huu uzi
ulipaswa kujaa picha na comment kibao kwa jinsi wana Arusha ambavyo
hujipambambanua ukitegemea huyu mtu anatokea huko this is too low
for u.Mwanza huwa hatuna Mbwembwe ila Mziki wetu unafahamika just wait
keep breathing Mwanza ni Kesho tu keep breathing
Niko eneo la tukio, kuna nyomi ya kutosha ila bado mheshimiwa rais hajafika,wekeni namba niwatumie picha watsap. Kwa hili nyomi ccm tumeshikwa pabaya,kuna watu karbu milion 2 hapa.