Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,806
[emoji23]acha utani bwanaGoddess ujakaa mikoani wewe ukaziona Radii za huko utafikili uko msitu wa Amazon
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]acha utani bwanaGoddess ujakaa mikoani wewe ukaziona Radii za huko utafikili uko msitu wa Amazon
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huku mkoani nilikopita nako inanyesha cat and dog...Wasalaam
Jamani leo mvua. Imeanza asubuhi sana na bado inanyesha kama yote wakati huu.
Tunaokuja na mwendokasi mjini panapitika Jangwani au ndo imetoka tukutane kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisarawe hainyeshi. Huko ikinyesha ndio huleta maji huku.Wasalaam
Jamani leo mvua. Imeanza asubuhi sana na bado inanyesha kama yote wakati huu.
Tunaokuja na mwendokasi mjini panapitika Jangwani au ndio imetoka tukutane kesho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeeee, wacha weee! Kwa raha zako? Salaam zaoMbagala niliyopo imenyesha nje kumelowa ndembendembe... nimerudi kitandani kujilaza nimejigubika blanketi bwiiii.
Naperuuuzzzzzz na Kudaaadiiiizzzzzz
Ulisema upo single na huwa unatumia kibomba na tango kufanya yako nakutakia kila lakheriMbagala niliyopo imenyesha nje kumelowa ndembendembe... nimerudi kitandani kujilaza nimejigubika blanketi bwiiii.
Naperuuuzzzzzz na Kudaaadiiiizzzzzz
jana tumetoa tahadhari au hukuisoma? nenda kwenye website yetuJoto lilizidi kwa wiki kadhaa, kabla ya hapo ulianza upepo ukapiga balaa, ikafumuka mvua, ikaja baridi kali, likaja babalao kama kawa joto la kibabe sasa imetibuka tena. Kweli Dunia inakwenda kasi sana, kiufupi majira hayaeleweki!
Hapa kanda ya ziwa kuna mvua el-nino cha mtoto. TMA veeepeee? Dish halisomi au?
Ununio hakuna mvua..
Eti hawaendi job ,Hapa mz hata mvua ishinde inanyesha,watu wako mtaani wanachapa kazi na daladala ZinazungukaWanaume wa Dar waoga Sana..wanaogopa Hadi radi
Apo umekosa kitu kimoja tu,najua ushakielewa haha