Habari za asubuhi wadau, maeneo ya Mbagala kuna mvua kubwa sana yenye radi inanyesha tangu majira ya saa 12 asubuhi hadi muda huu, radi ni za nguvu hadi ardhi inatetema, tuombe Mungu isilete madhara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app