UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

Ngosha kila wakati anaimwagia sifa TANROADS na ujenzi wa barabara wa hovyo unaosababisha mafuriko, sijui kuna kitu wanafanya wote?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni shida kwa kweli,, sema si unajua huku wengi wana macruiser na marover kwahiyo wao ili mradi magari yao ni kambi popote ninyi wengine wenye viist na vipasso ndiyo mtajibeba wao hiyo haiwahusu..
Hapo nyaishozi hizo barabara za mtaani huwa hazifai. Yaani kuna mashimo sipati picha.
Maana hata gari huwa zinashindwa kupita hasa saloon.
Wamejaa vibopa hapo, kujaza vifusi wanasubiri serikali [emoji3].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni shida kwa kweli,, sema si unajua huku wengi wana macruiser na marover kwahiyo wao ili mradi magari yao ni kambi popote ninyi wengine wenye viist na vipasso mtajibeba wao hiyo haiwahusu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mzee wangu yuko maeneo hayo ana premio na harrier. Yaani ikiwa ile premio kwake hapo tu lakini huwa anazunguka mno.
Nikamuuliza mbona madimbwi sio mengi si mjichange tu myajaze. Anasema kila mtu anamtegea mwenzie nani aanze😀
 
Hahahaha kazi kweli kweli,, na vyenye kila mtu yuko ndani ya geti lake hamna mwenye habari na mwenzie sasa sijui huo muafaka wa kujichangisha wataufikia lini..
Kuna mzee wangu yuko maeneo hayo ana premio na harrier. Yaani ikiwa ile premio kwake hapo tu lakini huwa anazunguka mno.
Nikamuuliza mbona madimbwi sio mengi si mjichange tu myajaze. Anasema kila mtu anamtegea mwenzie nani aanze[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali hii tangu juzi CCN Weather wameitangaza itapiga mpaka Tanzania

Lakini mamlaka ya hali ya hewa nchini wapo kimyaa kama mimi hapa...

Hii itapiga hadi kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania sio wafuatiliaji tu, hizi mvua TMA walishazitangaza na wakatoa tahadhari kwa mikoa ya kanda ya ziwa na ukanda wa pwani dar ikiwemo
 
Back
Top Bottom